Wakuu salama...?
Naomba kutoa dukuduku langu, kwa kipindi cha miezi 6 nimekaa hapa mjini nimegundua tatizo moja kubwa sana la afya ya kinywa hususani kwa dada zetu.
Yaani unakuta mrembo yupo vizuri, anafanya kazi nzuri, ana position nzuri, anavaa smart lakini akifungua kinywa unatamani ardhi...
Masinema ya diamond kuzaa na wanawake mbali mbali yameendelea kutuvuruga wapenda ubuyu, jana alijitokeza mwanamke mmoja mburundi akisema amezaa na diamond watoto mapacha wa kike, mwanamke huyo anajiita honey jesca kwenye instagram, cha ajabu leo kajitokeza mwingine anajiita honey jesca na...
Tahadhari kwetu sisi madereva, wa magari ya abiria na magari binafsi na watumiaji wa vyombo vya moto kwa ujumla.
Usifanye kosa halafu ukakutana na polisi kama huyu, huyu afande ni balaaa ukikutana nae lazima yakukute. Usivunje sheria ukadhani utahonga tu hovyo hovyo hapo lazima ulale ndani...
kuna tofauti kubwa sana kati ya prof lipumba wa zamani na prof lipumba wa sasa, wa sasa ni mzito sana kutoa maelezo mbali mbali on time,,,amkua mzito ssana kutokan ana uhusioano wake wa karibu na serikali iliuopo madarakani....
katika hili suala la lisu mpaka sasa hajaongea chochote wakati...
Kiba apagawisha arusha....sauti yake ya jukwaani haina tofauti na ya kwenye CD, mziki mzuri tuliburudika sana....hapa na mausingizi baaadae ntatupia zingine...pata starter kwanza.
tufunge siku leo kwa kutazama vipaji OG kutoka kwa watoto wetu wazuuri wa kiafrika....burudani mtambuka kama hizi unaziangalia ukiwa umechoka chokiiii.....
#NEXTCELEBS
Ni majuzi tu patoranking kaachia kolabo yake aliyofanya na diamond platnumz a.k.a simba...wakati huo huo nakuletea kolabo ingine aliyofanya patoranking na Ally Kiba, sasa nataka tuwe wazalendo humu tuweke ushabiki maandazi pembeni...tuseme nani kaumiza kati ya hizo kolabo mbili...???
No. 1...
juzi kati Celeb wakiganda muke ya diamond platnumz msaniii mkubwa Tanzania baada ya kuelewa aliamua kwenda kwao, huko alifanya mambo mengi na alionekana mwenye furaha muda wote mpaka pale alipofika kwenye kaburi la mama yake na kufanya haya.
Nimefurahishwa sana na nilivosikia kitendo cha Kingkiba alivoungana na mwenzake ommy dimpoz kwenda kumpongeza dada yetu mpenda happiness magese ambae juzi kati kapata mtoto baada ya mapambano ya muda mrefu, ikumbukwe dada yetu anamatatizo ya endometriosis...
kwa niaba ya JF napenda mpongeza...
Kila Mtanzania aliguswa na msiba mkubwa uliotokea, Mungu si athumani wakajitokeza wasamaria wema waliokua njiani wakaamua kujitwika jukumu hilo la kuhakikisha wanapata matibabu ya hali ya juu nje ya nchi(marekani), leo tumeshuhudia hapa KIA umati mkubwa uliojitokeza kuja kuwapokea watoto hao...
Katika zunguka zunguka huko YouTube leo nimeona wimbo mpya wa Diamond unaitwa Eneka upo kama nyimbo za Tekno kinamna flan ila ni mzuri.
Naona kaamua kufyatua tu midude kimya kimya. Diamond anataka kutupandisha presha aisee...
Naona mtaa wa pili upo kimya sana, mondi ashaachia nyimbo nyingi...
Huyu mtu ni simply a genius anapoamua kutulia anatuletea vitu hatari....hii ngoma nimeirudia mara 20 toka jana naisikiliza tu, big up tid mnyamaa...warioba...hhahahh hatari sana.
Ile couple iliyotikisa sana mjini pande zote bara na visiwani kati ya wasanii wawili imevunjika, ikiwa ni siku moja toka jux akamatie degree yake huko uchinani la kupokea pongezi nyingi kutoka kwa mpenzi wake wa zamani vmoney watu wengi waliamini jini mkata kamba kashindwa ila ghafla leo...
Nchi yetu imejaliwa vipaji vingi mno sema vinapotea kutokana na kutokua na mikakati iliyothabiti, tizama mwenyewe af angalia mazingira ya hichi kipaji.
Baada ya msiba zari ameonekana akipost yupo kwenye mjengo wao wa SA na familia yake yote, Mungu awape nguvu machungu ya msiba yapite aanze kupambana kuijenga familia yake.
diamond safi sana kwa kuonyesha ukomavu wa kuruhusu mkeo kukaaa na watoto wake wote.
Huyu jamaa naona keshashindikana....hizi mbio nilijua atachemka alianza vibaya sana lakini hapo kati kawakata wenzake kama walikua wamesimama. HATARI SANA.
Baada ya tundu lisu kuibuka na kuanza kuipinga kamati ya prof mruma kinyume na matarajio ya wengi, wabunge wa ccm wameanza kumwita msaliti, gwajima nae hakua mbali...wengine wanasema amehongwa pamoja na wabunge wengine wa upinzani.
haya yote yamemlazimu mh lissu kujitokeza hadharani na kutoa...
Kwa kipindi kifupi kilichopita bunge letu lilianza kurudi kwenye misingi ya kizalendo, ila tokea hii budget ya madini ianzwe kusomwa vijembe,majigambo,maneno ya kuudhi,kejeli zimerejea mahali pake.
Leo kwa mara nyingine mbunge wa Geita, mh Msukuma aliomba dakika za nyongeza kutoka kwa Hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.