Hukumu ilishatoka tangu juzi na Bunge liliwakilishwa Mahakamani na "Solicitor General" Wakili Mkuu wa Serikali. Ilitakiwa Wakili Mkuu aitaarifu Ofisi ya Speaker juu ya uamuzi wa Mahakama. Wabunge wote 19 walikoma kuwa wabunge tangu juzi Hukumu ilipotolewa. Shida ipo kwa upande wa Speaker wetu!!
Sasa uhuru wa Lissu anaoupata na kuupigania si upo kikatiba? Nchi hii ni huru kwa miaka 59 sasa kama huna habari.
Hakuna matusi yoyote aliyoyatukana Lissu, polisi hawana sababu ya kumkamata zaidi ya kumpatia ulinzi kama mwananchi mwingine wa kawaida. Au unaona polisi wamemzawadia uhuru kwa...
"Kitendo cha kukodi gari la matangazo kupita mitaani kuhamasisha watu, kuandaa jukwaa na kuhutubia kwa zaidi ya saa nzima huku ukijitapa namna serikali yako itakavyokuwa na kujaribu kukosoa serikali iliyopo madarakani ...."
Sheria gani unayoiongelea wewe, maana THE NATIONAL ELECTIONS ACT, CAP...
Sheria inamtaka apate angalau wadhami 200 kwa mikoa kumi. Jumla ya wadhamini kwa mikoa yote kumi isipungue 2000! Hata angepata wadhamini 2000 "mkoa mmoja" tu bado atakuwa hajakidhi vigezo. Hao 485 wa Shinyanga wamezidi sababu hawahitajiki wote, watahitajika angalau 200 tu kwa mkoa wa Shinyanga!!
Kuwa na kesi za kujibu Mahakamani hakumuondolei sifa ya kuwa mgombea kwenye uchaguzi.
1. "presumption of innocence", mpaka ahukumiwe kwenye hizo kesi ndio anakuwa ni mkosaji.
2. Hizo kesi zote 6 za uchochezi hata kama akapatikana na makosa, uchochezi haumuondolei sifa ya kugombea. Angalia ibara...
Sawa, hebu twende taratibu. Nadhani kupinga kilicho kibaya kwenye ngazi ya kimataifa sio kosa na wala sio kudhalilisha. Inawezekana nafasi ya kukipinga mkiwa ndani ya Nchi haiwezekani tena, lazima utumie njia mbadala.
Sasa chukulia mfano mtu kama Tundu Lissu alivyonyanyaswa, amefunguliwa kesi...
Mtu akiwa nje ya nchi akamtukana Raisi kuna compromise vipi National Interest or National Security? Watu wana maoni tofauti na mitazamo tofauti ya ki sera na kiuongozi, kukosoana kwenye dunia hii ya sasa hakukwepeki!!
MAKE: BMW
MODEL: X3 E83 2.5i
ENGINE: M54B25 (2494cc)
MILEAGE: 59,398
YEAR OF MANUFACTURE: 2005
FUEL: PETROL
COLOR: WHITE
TRANSMISSION: STEPTRONIC AUTOMATIC
OPTIONS: PANORAMIC MOONROOF, X-DRIVE (All Wheel Drive), BMW USER MANUAL & SERVICE RECORD, HILL DECENT CONTROL, 9" ANDROID 9 CAR...
Mwanamke akipigwa na mumewe ana haki ya kwenda polisi kumshitaki moja kwa moja na sio kumpigia simu Bashite...!! Wasipoteze vocha zao kumpigia simu mtu ambaye anatafuta umaarufu wa kijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.