Pole mwaya vitunguu vimeunguza koo lako lakini fuata ushauri huo hapo juu siku nyingine usile vitunguu vingi kiasi hicho, kwa afya vitunguu vitatu tu vinatosha. la kufanya kwa sasa kunywa maji mengi kisha unywe maziwa na kama unamachungwa au limalo na asali mbichi tumia pia hiyo hali...
yeah naukumbuka sana huo mchezo Iringa tulikuwa tunaita Uki, unachora mstatili wenye njia na viduara vinne kila kona kwa ajili ya kusimama unatakiwa ukimbie mpira unaporushwa usimame kwenye duara kabla mzingaji wa pili hajadaka mpira nafkiri.
kweli nyimbo za utoto zinakumbusha mbali aisee...
Hata Saul Muuaji alipewa second chance akahubiri neno la Mungu. So ukipewa second chance na Mungu wako jitafakari upya unaweza usihubiri lakini ukaacha usaliti kwa nchi yako, kama wa kuuza habari za nchi za nchi yako kwa adui, kutukana mamlaka zilizowekwa na mengineyo ambayo ni chukizo kwa...
Mbowe naye kajimilikisha Chadema; Seif kajimilikisha Cuf Zanzibar; Lipumba naye CUF Bara; Loh! ni umiliki, umiliki, umiliki...... Kha mwisho wa siku ubatili mtupu. mleta mada angalau ndani ya CCM wanabadilishana madaraka sijui hivyo vyama vingine unasemaje.
urembo ulionishinda ni kuvaa uchi au nusu uchi kwenye public, kutinda nyusi na kuchora mijiwanja, kubanika makucha maana sijui walibandika wanajitawazaje, kupaka lipstic iliyokolea mpaka unashindwa kumhag mtu, kuvaa kiatu kirefu zaidi ya nchi tano unakua kama ngongoti, kuvaa nguo za kubana mpaka...
Ingawa hunijui lakini mtoto ni baraka. Mungu akukuzie angalau hukutaka ucelebrity kama wa akina wema miaka imeganda. wewe ni mama sasa Mfurahie mwanao na uone utamu wa kuitwa mama. all the best katika malezi na mwana umleavyo ndivyo akuavyo. Mfundishe kumcha Mungu maana ndiko zitokako...
Mimi namuonea huruma tu kuwa akilala usiku hiyo mishipa ya shingo na uso inavyomuuma. kila siku kuisimamisha siku yaja atajikuta mahakamani yuko pekee wapambe hakuna ameshau mwezie wa Arusha.
Hivi hizi picha zinauhalisia kweli maana kulikuwa na kampeni ya kuchangia madawati na tena kila mkoa ulitoa tathimini ya malengo yaliyofikiwa.
Naona kama hizi picha zimekaa kipropaganda zaidi.
Hapa kuna siri nyuma ya pazia. huyo mama anajuta kwa kumtelekeza mwanaye na pengine hana mtoto mwingine zaidi ya huyo na anatamani wa kumwita mama angalau amkumbatie ana feel upweke. lakini all in all yote ni mipango ya Mungu.
Mtoto kama anajua amsamehe tu mama yake ampende. kama yeye Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.