Bado shocking nyingi zimefichwa lakini tuhesabu siku zitafichuka, kitu muhimu ni angalia picha na utajifunza mengi sana ya ajabu, yujitahidi kuchukua mazuri na mabaya tuwaachie wenyewe.
Bado pale pale "was absent/present...!!! which is which?.
Nani aliemuua mungu yesu? au ni watu wadini gani?
Bibilia iliofichwa ilioko Rome sio vesion mpya za Kina king James. but still is a book with writen words on it.
Haya ni maswali ukiuliza sunday school padri anashindwa kujibu na ankutoa...
Sielewi hapa labda wana wakondoo watanitoa shaka, maswali yangu ni haya, ni mungu kafa kwa kusulubiwa, maana kashindwa kujihami, kama kafa mungu gani kabaki? huyu mungu aliyebaki, je? anfaurahishwa na kumuona mungu mwenzie alieuawa kawa kigezo cha picha ya kuteswa msalabani inaanikwa, badala ya...
Ni tekenolj jipya si mara ya kwanza mbuzi kupanda baiskeli hata bata atavaa raizoni,tofauti ni kumpakia kitako cha nyuma ndani ya tenga lakini ni lengo ni lile lile kumsafirisha cheki mbuzi anainjoi ile mbaya na kashika mabega safi, swali ni mbuzi wake ua!!!? maana bongo.
Jamii, Kwa kweli tukifuata uwiyano wa dini katika nchi, au dunia haiwezi kuendelea na kutengemaa, muhimu viongozi wachaguliwe kwa nyanja za uadilifu wa utendaji wa kazi kwa vitendo, lakini katika awamu zote nne kuna hofu kama kuna more than 5% ya watendaji waadilifu na kama wangekuepo hao 5%...
Yote ni kweli. Lakini tatizo kubwa ni toka ngazi za juu kama viongozi kazi zao hawajui wajibu wala hawaoni haya hali kama uchafu ni kawaida kwao, mwananchi atajitahidi kadri ya uwezo wake lakini kama kiongozi hajali. Ndo inabidi uwe msafi kwako nje huna hila Waafrika tunataka viongozi wenye...
Hata wakiwa 100% waislam haiamanishi chochote, maana waisalm wanafiki ndio wabaya zaidi ya wakristo wazuri,waislam na ndio ni kweli, wengi saaana, wenye kutimiza ahadi au waumini ndio wanao takiwa kufuatwa sio jina muislam hawa ni vitu viwili tofauti tena mbali mbali. katika hao 75% basi ni %...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.