Ratiba?, aseeh!
Hua hakuna kitu kama hichi na hata ikipangwa hua inavurugika maana kuna siku kwa ratiba inasema hakuna ila wote ndio mnatakana, kifupi ratiba hua hakuna.
Kama mchangiaji mmoja hapa alivyosema kwenye ndoa sex sio issue kabisa tofauti na mkiwa bado hamjaoana.
Kwa miaka ya hivi karibuni bima imekua kitu muhimu sana kwa kila mtu na inaweza kuokoa mtu pale usipotarajia, lakini hapo nyuma kidogo ilikua ni uozo.
Kuna mzee wangu mmoja aliwahi fariki miaka ya 2013 kwa kucheleweshewa huduma kisa anatumia bima, toka miaka hiyo sikuwahi amini bima tena.
Sent...
Mkuu, kuna mengi ya kufahamu kabla ya kutatua changamoto inayo kabili gari yako, na ili gari itibiwe kwa ufasaha onana na mafundi/ wataalamu waliobobea karibu yako.
[emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Be dangerous that no one can mess up with you.
NB: kwa dharau yoyote atakayokuonyesha mwanamke wako, basi jua wewe kama mwanamume uliitengeneza na kuikumbatia mwanzo wa mahusiano uenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asseeeh, hata kumuuliza kitu kwa msisitizo hapana ! ( Una uhakika? ).
Kwa mimi nauliza na hata makofi mawili matatu anachezea asipo jibu kwa maelezo yanayo eleweka
Kwani hicho chuo si kiliwekwa mahali palipokua shule ya sekondari Oswald Mang'ombe?
Na kama ndipo kilipo basi hakijaanza miaka 13 unayosema maana mdogo wangu ame-graduate pale form six 2016, hivyo basi hakina zaidi ya miaka 8. Kuhusu kua na wanafunzi sina taarifa zozote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.