Wanabodi heshima kwenu wakuu!
Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA
atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024
Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais...
Ninao uhitaji wa mabinti 2 wa kazi, kila mmoja kwa majukum yake, wa kwanza kwa ajir ya kulea watt na mwingine kupika..
Ikiwa kunamtu anajua au anauhitaji huo awasiliane nam kwa kunipm, ili nimpe mawasiliano..
Zingatia wadada hao, wawe wanajua kusoma na kuandika na ni kati ya miaka 18-22...
Kwa sasa nipo hapa mjin kwa siku kadhaa, raia na wakazi wa hapa wamekuwa wanapata shida kubwa sana hasa kwenye kuuza samaki,
wakina mama wanakamatwa na kupigwa pingu, asubuhi ya leo nmeshuhudia ktk soko la mbugani/joshoni kinamama wanakamatwa na kupigwa pingu, imetokea tafulani kubwa,
Hao...
Wanabodi
Nmekutana na mjadala wa uchaguzi wa miaka nliyoitaja hapo juu, juu ya idada ya wapiga kula walio mpitisha Rais wa awamu ya pili, kwa mihula yote miwili
Naomba kuuliza kwa wale waliokuwepo wakati huo(mm nlikuwa mdogo)
1... Je awamu ya kwanza RAIS MWINYI ALIPATA KULA NGAP?
2... Awamu...
Madaktari Hospitali ya Kenyatta wasimamishwa kazi kwa kufanya upasuaji wa kichwa kwa mgonjwa asiyestahili.
Taarifa kutoka mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo, Lily Tare, zinabainisha kuwa wagonjwa wawili waliokuwa hawajitambui na mmoja kati yao ndiye alihitaji upasuaji wa kichwa ili kuondoa damu...
Wakuu:
Naomba nitoe maoni yangu/mchango wangu kuhusiana na bajeti, hususani kwenye KODI ZA MABANGO kukabihiwa TRA,
KWA maoni yangu, hili ndilo jambo baya zaidi kuwahi kuanywa na serikali toka awamu hii imeingia, ninazo sababu kadhaa ambazo huenda zikawa chache ila naamini zinaweza zikawepo...
Naomba kujulishwa au kama hum ndani kunamtu anaweza kupata maziwa kwa kila wiki Lita 100 kwa kuanzia ani pm.. Ni biashara ya uhakika kwangu...
Karbuni wakuu..
Wakuu nauza TV ndogo ya tumbo, 18' seti moja ya sofa(yaan lenye watu 2 na 3, gasi ya mihan kubwa na jiko lake la kioo..
BEI
TV........ 80,000|=
Sofa.....200,000/=
Gasi na jiko 250,000/=
Kwa jumla 480000/=
Karibun wote...
Njoo pm ntakupa no.....
Rais Dr. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu,Manaibu Makatibu Wakuu, Mkuu wa mkoa wa Njombe na Msajili wa Hazina.
Katika mabadiliko hayo,Rais Magufuli amemteua Dr. Mashindano kuwa Msajili wa Hazina kuchukua nafasi ya Mafuru atakayepangiwa kazi nyingine. Pia, Rais Magufuli...
Hii imetokea kigogo, familia moja ilifiwa na mtt(mwanamke mtu mzima) siku ya ijumaa, ikapelekea ndugu kufanya taratibu za mazisha..
Mipango ikafanywa kiwa j2 ya tarehe 2/10/16wazike, wakiwa wapo machwari kuuandaa mwili kwa ajir ya kuzika akatokea alie kuwa mme wake(alifunga ndoa ya...
Wadau
Ili rais ajaye awe na sifa kubwa walao tusaidiane kuyachambua haya majimbo mawili,
je kama viongozi wake kwa miaka waliokaa na nyadhifa zao zinaendana na maendeleo yao??
Ikiwa kama tutaona haya jimbo la mmoja wao halina maendele, tuanzie hapo kujua rais mpya wa awam ya 5...
Tarehe 10/03/15, nilinunua umeme, nlipokwenda kuuweka tokeni zake zikagoma, ikabidi nirudi hapo kwenye kituo wakanielekeza tatzo,wakasema hawana la kunisaidia may b niende makao makuu..
Ikabidi ninunue mwingine, nlipoweka ukakubari, leo nmefuatilia huo umeme, nmeenda makao makuu mikocheni...
Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha kubadilishia pesa usiku wa kuamukia leo. Hakuna alie kamatwa ila walinzi walikutwa wamefungwa kamba na kuzibwa midomo.
Ninaelekea kazin nmekutana na maandamano kuna watu kama 50 hiv ila hakuna police wakipata taarifa wanaweza kwenda kuweka ulinzi ili watu waandamane kwa amani...
Msiniombe picha maana sikupiga
Wakuu npo jimbon kwa mheshimiwa, hakuna umeme umekatika tangu Jumapili, wenyeji wanasema transiformer imeungua Cha ajabu ki vipi kwa mheshimiwa huyu umeme ukosekane? Au hajui?
Anaeweza kumpa taarifa tafadhali mwambien
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.