Search results

  1. Boniphace Bembele Ng'wita

    Maombi ya kuahirishiwa ziara ya Rais Samia inayotazamiwa kuanza nchini Uturuki

    Wanabodi heshima kwenu wakuu! Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024 Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais...
  2. Boniphace Bembele Ng'wita

    Nahitaji wafanyakazi wa ndani 2

    Ninao uhitaji wa mabinti 2 wa kazi, kila mmoja kwa majukum yake, wa kwanza kwa ajir ya kulea watt na mwingine kupika.. Ikiwa kunamtu anajua au anauhitaji huo awasiliane nam kwa kunipm, ili nimpe mawasiliano.. Zingatia wadada hao, wawe wanajua kusoma na kuandika na ni kati ya miaka 18-22...
  3. Boniphace Bembele Ng'wita

    Samaki sasa ni kama madawa ya kulevya kanda ya ziwa

    Kwa sasa nipo hapa mjin kwa siku kadhaa, raia na wakazi wa hapa wamekuwa wanapata shida kubwa sana hasa kwenye kuuza samaki, wakina mama wanakamatwa na kupigwa pingu, asubuhi ya leo nmeshuhudia ktk soko la mbugani/joshoni kinamama wanakamatwa na kupigwa pingu, imetokea tafulani kubwa, Hao...
  4. Boniphace Bembele Ng'wita

    Uchaguzi wa mwaka 1985 na 1990

    Wanabodi Nmekutana na mjadala wa uchaguzi wa miaka nliyoitaja hapo juu, juu ya idada ya wapiga kula walio mpitisha Rais wa awamu ya pili, kwa mihula yote miwili Naomba kuuliza kwa wale waliokuwepo wakati huo(mm nlikuwa mdogo) 1... Je awamu ya kwanza RAIS MWINYI ALIPATA KULA NGAP? 2... Awamu...
  5. Boniphace Bembele Ng'wita

    Madaktari Kenya wafanya upasuaji wa kimakosa

    Madaktari Hospitali ya Kenyatta wasimamishwa kazi kwa kufanya upasuaji wa kichwa kwa mgonjwa asiyestahili. Taarifa kutoka mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo, Lily Tare, zinabainisha kuwa wagonjwa wawili waliokuwa hawajitambui na mmoja kati yao ndiye alihitaji upasuaji wa kichwa ili kuondoa damu...
  6. Boniphace Bembele Ng'wita

    Maoni yangu kuhusu Bajeti na kodi za mabango kukusanywa na TRA

    Wakuu: Naomba nitoe maoni yangu/mchango wangu kuhusiana na bajeti, hususani kwenye KODI ZA MABANGO kukabihiwa TRA, KWA maoni yangu, hili ndilo jambo baya zaidi kuwahi kuanywa na serikali toka awamu hii imeingia, ninazo sababu kadhaa ambazo huenda zikawa chache ila naamini zinaweza zikawepo...
  7. Boniphace Bembele Ng'wita

    Maziwa ya jumla

    Naomba kujulishwa au kama hum ndani kunamtu anaweza kupata maziwa kwa kila wiki Lita 100 kwa kuanzia ani pm.. Ni biashara ya uhakika kwangu... Karbuni wakuu..
  8. Boniphace Bembele Ng'wita

    Vitu vya ndani vinauzwa

    Sofa.....200,000/= TV ndogo(tumbo)80000 Mihani gasi na jiko 250000 Pm ntatoa namba, Npo dar...
  9. Boniphace Bembele Ng'wita

    VINAUZWA VINAUZWA

    Wakuu nauza TV ndogo ya tumbo, 18' seti moja ya sofa(yaan lenye watu 2 na 3, gasi ya mihan kubwa na jiko lake la kioo.. BEI TV........ 80,000|= Sofa.....200,000/= Gasi na jiko 250,000/= Kwa jumla 480000/= Karibun wote... Njoo pm ntakupa no.....
  10. Boniphace Bembele Ng'wita

    Rais Magufuli apangua safu ya Makatibu wakuu. Mafuru atemwa Hazina, Ole Sendeka RC Njombe

    Rais Dr. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu,Manaibu Makatibu Wakuu, Mkuu wa mkoa wa Njombe na Msajili wa Hazina. Katika mabadiliko hayo,Rais Magufuli amemteua Dr. Mashindano kuwa Msajili wa Hazina kuchukua nafasi ya Mafuru atakayepangiwa kazi nyingine. Pia, Rais Magufuli...
  11. Boniphace Bembele Ng'wita

    Mgogoro wa kuzika

    Hii imetokea kigogo, familia moja ilifiwa na mtt(mwanamke mtu mzima) siku ya ijumaa, ikapelekea ndugu kufanya taratibu za mazisha.. Mipango ikafanywa kiwa j2 ya tarehe 2/10/16wazike, wakiwa wapo machwari kuuandaa mwili kwa ajir ya kuzika akatokea alie kuwa mme wake(alifunga ndoa ya...
  12. Boniphace Bembele Ng'wita

    Hii pesa ina thamani?

    Nmeikuta kwenye bagi yangu ya mtumba niliyoinunua miaka kadhaa. Please anaeijua karibu.
  13. Boniphace Bembele Ng'wita

    Redio aina ya Sony yenye spika sita inauzwa

    karb, 1.3m maelewano yapo,, nipm ntakupa no kwa mawasiliano
  14. Boniphace Bembele Ng'wita

    Kuna anayeelewa kibonzo hiki kinamaanisha nini?

    Huyu mwandishi wa Nipashe kaweka kibonzo hiki, je kunaanae muelewa? Ana maana ipi?
  15. Boniphace Bembele Ng'wita

    Tufanye ulinganifu kati ya jimbo la Chato na Monduli

    Wadau Ili rais ajaye awe na sifa kubwa walao tusaidiane kuyachambua haya majimbo mawili, je kama viongozi wake kwa miaka waliokaa na nyadhifa zao zinaendana na maendeleo yao?? Ikiwa kama tutaona haya jimbo la mmoja wao halina maendele, tuanzie hapo kujua rais mpya wa awam ya 5...
  16. Boniphace Bembele Ng'wita

    TANESCO hili tatizo mnalijua?

    Tarehe 10/03/15, nilinunua umeme, nlipokwenda kuuweka tokeni zake zikagoma, ikabidi nirudi hapo kwenye kituo wakanielekeza tatzo,wakasema hawana la kunisaidia may b niende makao makuu.. Ikabidi ninunue mwingine, nlipoweka ukakubari, leo nmefuatilia huo umeme, nmeenda makao makuu mikocheni...
  17. Boniphace Bembele Ng'wita

    Majambazi wavamia Bureau Kibaha Pwani

    Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha kubadilishia pesa usiku wa kuamukia leo. Hakuna alie kamatwa ila walinzi walikutwa wamefungwa kamba na kuzibwa midomo.
  18. Boniphace Bembele Ng'wita

    Kuna maandamano Kimara kuelekea Ubungo

    Ninaelekea kazin nmekutana na maandamano kuna watu kama 50 hiv ila hakuna police wakipata taarifa wanaweza kwenda kuweka ulinzi ili watu waandamane kwa amani... Msiniombe picha maana sikupiga
  19. Boniphace Bembele Ng'wita

    Mwambieni Samwel Sitta

    Wakuu npo jimbon kwa mheshimiwa, hakuna umeme umekatika tangu Jumapili, wenyeji wanasema transiformer imeungua Cha ajabu ki vipi kwa mheshimiwa huyu umeme ukosekane? Au hajui? Anaeweza kumpa taarifa tafadhali mwambien
  20. Boniphace Bembele Ng'wita

    Mtoto wa ajabu azaliwa Temeke

    Kwa wale wanaojua habar hii nmeipata so kama kuna mtu anaweza kujustfy itakuwa vyema maana nami nmepenyezewa,
Back
Top Bottom