Issue ni walimu wenye qualifications. Kwenye shule zetu za serikali walimu ni mazao ya Kayumba Sasa unategemea nini?
Ili tuwe na elimu bora, kama Taifa inabidi uwekwe mkakati wa miaka kumi hadi ishirini ili kuwapata walimu wenye uwezo wa kuleta changes
Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema na Chadema ni watu, sasa kwa nini atumie pesa za familia? Watu anaowaongoza wapo tayari kuchangia tena kwa hiari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapiga simu, wanakuwa na taarifa zako, wazazi, ndugu na jamaa zako, wanakuaminisha na wanakwambia kuwa wametumwa na mama au baba uwape pesa kadhaa kwa ajili ya mzigo wa biashara, kwa kuwaamini unajikuta umetuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hizi namba zinatumika kutapeli watu, kuweni makini
0687003181 Makala
0684079639 Thomas
0658461311 Makala
0716997631 Mohamed Ally
Naomba mwenye kujua napataje msaada TCRA anisaidie, binti yangu katapeliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ipo kwetu watanzania. Mtu anajiandikisha, ukifika muda wa kuchukua namba, unakuta kasahau majina aliyojiandikisha, kasahau majina ya wazazi hata tarehe ya kuzaliwa. Inabidi apige picha mara ya pili, matokeo system inakataa kwani anakuwa 'Duplicate'.
Mtu Kama huyu hata aende wapi hawezi...
Leo kwa kukutana na hii thread, nasikia raha Sana.
Mkuu naomba unielekeze na kunifundisha, nataka kujiunga hata leo hii. Mawasiliano 0712478633.
Naomba utaratibu, Kama wapo wengine walio tayari Kama Mimi tupate darasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.