thank you god for the gift of life, a life of peace, joy and serenity; full of charming parents, family, and friends. On my birthday, i always ask you to endow me with your spirit; that i may love as to be loved; that i may serve as to be served and that my existence may make a difference...
habari zinazopatikana mitandaoni zinadai "wapenzi" hao wameanza kupeana miadi inayoashiria ujio wa kurudiana.
ikadaiwa kwamba ni ri ri ndiye aliyeanza uchokozi huo kwenye mtandao wa twita.
wa kale walisema wagombanao ndio wapatanoa! tusishangae kama hiyo sapraizi ipo kweli.
kwamba mwanamke afaidie penzi la mwanaume ni yule wa mwisho kati ya wale aliowapitia huyo dume? kwamba mwanaume afaidie penzi la mwanamke ni yule wa kwanza kwa vile 'njia' itakuwa bado haijaiharibiwa? haya ni maneno kwenye 'signature' ya mkuu mmoja. guess who?
kwamba mwanamke afaidie penzi la mwanaume ni yule wa mwisho kati ya wale aliowapitia huyo dume? kwamba mwanaume afaidie penzi la mwanamke ni yule wa kwanza kwa vile 'njia' itakuwa itakuwa imeharibiwa? haya ni maneno kwenye 'signature' ya mkuu mmoja. guess who?
wakuu,
kutokana na jinsi uchaguzi 2010 ulivyopelekea kutokea kwa matukio ya arusha; ambayo pia yanaakisi hali halisi ya yanayojiri nchini tanzania; ninayo heshima kupendekeza kuanzishwa kwa jukwaa la siasa za arusha kwa mod(s) na kuomba kuungwa mikono na wakuu wote weledi na wenye mapenzi mema...
Kwenye 'Mwananchi' la jana, katuni ya kipanya inaonesha CCM (kombati la kijani) akishika remote control kuiendesha tv (Tanzania); huku nyuma ya huyo CCM akiwapo 'ponjoro' ambaye pia ana rimoti ya kuiendesha tv hiyo huku Kipanya akiuliza; " na huyo wa nyuma ni nani?"
Bila shaka msanii huyo...
wimbo niliousikia hivi karibuni wa msanii huyo uitwao 'adela' unanifanya nifikirie pamoja wa watanzania wengine (pengine!) kwamba ni nani hasa anayetajwa kama adela?
ikumbukwe mpoto ni selebu aliyetokea kupendwa sana kwa mtindo wake wa kufikisha ujumbe kwa hadhira kwa njia ya mafumbo ( kama...
ama kweli mtoto wa nyoka ni nyoka tu. mtoto huyu wa miaka takribani 9 amekuwa selebu si kwa sababu ya baba yake will smith na mama yake jada pinkett; ambao pia ni maselebu.
ni kutokana na wimbo wake huo maarufu ambapo video yake inatesa sasa duniani kote ikiwepo bongo yetu.
ni katika...
wakuu,
jana nilikuwa kwenye sherehe ya bdau ya mtoto wa mtwasi wangu na wakati wa kwenda ku-tos na mtoto (cheers), simu yangu ilipotea katika mazingira ya kutatanisha kwani dakika chache baada mc kutangaza kupotelewa cm yangu haikupatikana tena baada ya kupiga kwa kutumia nyingine japo muda...
nimepata kuwasoma wakuu kama akina acid, kiranga, rev masanilo na wengineo wakitumia neno 'vilaza' katika hoja zao kuonesha mwenendo fulani { pengine kifikra?}.
nimejaribu kutumia context kuelewa neno hilo lakini nimeona bado halijakaa; na nikaishia kukiri kwamba lugha ni kitu kinachobadilika...
wakuu, baadhi ya vyombo vya habari vilimnukuu makamba akitangaza kwamba uspika safari hii kupitia chama chake sifa ni uanauke.
vyombo vingine vya habari vikaripoti kwamba jk ameshauriwa kumteua samwel sitta kwenye safu ya uongozi wake ili 'kumpoza.'
je, kumpa mtu uongozi kwa sababu ya jinsia...
hivi karibuni nilitembelea wilaya ya mpwapwa na katika kijiji kimoja mwanafunzi mmoja wa kike aliyemaliza kidato cha 4 mwaka jana katika shule ya kata ya kata hiyo mpya iliyoanzishwa hivi karibuni alishiriki kwenye kinyang'anyiro cha udiwani viti maalumu kupitia chadema na almanusrat aukwae...
kama mashabiki wa jk walisherehekea ushindi wake kwa sbb tu aliwashinda akina dk ws na wenzake, basi ninaweza kusema walifaidi unono huo kwa 100%.
ni ukweli usiopingika kwamba sekunde ya kwanza ya kuapishwa kwa jk, imekuwa sekunde ya kwanza ya mfumuko wa bei nchini.
wakati nawauliza wakuu...
tangu oktoba 23, huyu mkuu hapatikani hapa.
ni shabiki mwenzangu wa chama tawala,
tena ni mdini sana kama mimi,
kokote atakapokuwapo,]
aendelee kumshabikia jk
lakini ampigie kura dk slaa.
aaaaaaamin!!!
dk slaa anasubiriwa na umati wa watu hapa mjini dodoma kwenye viwanja vya barafu, vinavyopakana na uwanja wa jamhuri; uwanja uliokuwa mali ya mlipa kodi wa nchi hii ukapokwa.
inesemwa ya kwamba dk ws atawasili hapa majira ya saa 10:00 alasiri akitokea iringa.
nusu saa iliyopita nilikuwa hapo...
(nb: these pics are links; kindly click them)
mwanzoni nilipomuona huyu selebu akitoa 'shooting' ya nguvu na sara 'binti kiziwi' [ kwenye wimbo maarufu wa 'binti kiziwi' alimshirikisha msanii pingu], nilidhani mchezo uliishia kwenye kupiga picha (shooting) ya wimbo huo maarufu uliowashika vibaya...
miongoni mwa kauli zilizonifurahisha zilizotolewa na dk ws kwenye mahojiano ya moja kwa moja aliyofanya na kituo cha runinga cha itv hivi karibuni, ni kauli yake hiyo ya kutokukubali damu ya watanzania kumwagika.
Hivyo, propaganda yoyote ile ya kumchafua dk ws kunakofanywa na 'watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.