Search results

  1. lutemi

    Rais hakosei?

    Naomba kuuliza katika utawala je Rais huwa HAKOSEI? Je, Rais anaweza kuwa na ushawishi wowote wenye nguvu kuingiza nchi kwenye mikataba isiyo na tija Kwa nchi? Je, Rais anaweza kuamua Jambo lolote kwenye mihimili mingine na asifanywe chochote? Je, Rais anaweza kuisigina katiba na chama chake...
  2. lutemi

    Kwanini wabunge wasipewe mafao wakiwa na miaka 60?

    Salamu Naomba kujua ikiwa wabunge wakatwa pay as you earn (PAYE) Naomba kujua kama wabunge wanachangia mifuko ya NSSF(national social security fund) Naomba kujua wabunge wanachukua hizo fedha yaani kiinua mgongo baada ya muda gani na kwanini wasipewe baada ya kutimiza miaka sitini?
  3. lutemi

    Tanzania ikipenda inaweza inaweza kuendelea kuwa mfano Barani Afrika na Duniani

    Habari Wana jamvi Kama KICHWA CHA SOMO hapo juu naomba niingie moja Kwa moja Kwa maada. Nchi yetu Chini ya utawala wa Rais Julius kambarage Nyerere Baba wa taifa nchi ilisukwa katika weredi wa Hali ya juu Sana. Mfano viwanda kila mkoa kulingana na Mali ghafi zilizokuwa zinakuwa zikipatikana...
  4. lutemi

    Tembea uone, tunaweza nasi kuiga hili kutoka Uganda

    Wakuu nawasalimu nyote Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!? Kazi iendelee. Baada ya salamu nijikite kwenye Hoja. Mwezi mmoja ulipita nilitembelea nchi ya Uganda. Kutoka Entebbe mpaka Kampala kuna mwendo wa zaidi ya masaa mawili hivi. Lakini Uganda kulingana na kuruhusu daladala ndogo Aina ya...
  5. lutemi

    Ombi la kurejeshewa Internet

    Wanaohusika na Internet tunaomba mturejeshee internet jamani. Kumbukeni wengine wanasoma online, wengine wanafanya biashara online, wengine internet ndio chakula chao. Naombeni sana mturudishie hii kitu inatutesa sana. Issue ya internet mnatuonea hata wale tusiokuwa na mlengo wowote. Wengine...
  6. lutemi

    Jambo gani ambalo huwezi kulisahau?

    Mimi nakumbuka mwaka 2001 nilikuwa mkoani Morogoro kwa biashara ya madini , eneo linaitwa mkuyuni. Nikaugua na kuenda zahanati Fulani hivi . Na kwasababu ya kutokuwa na vitanda vingi ,tulilazwa kitanda kimoja watu wawili na sote tulitundikiwa drip. Kilichotokea SAA nane usiku nipo macho na...
  7. lutemi

    Uchaguzi 2020 Ujazaji wa fomu za uchaguzi, umakini ni muhimu sana!

    Nawakumbusha wagombea Msijaze kiholela form za kuomba kugombea Udiwani Ubunge Urais Form hizo zitachunguzwa kipengele baada ya kipengele. Kama kuna sehemu huelewi uliza ili usaidiwe maana utawekewa pingamizi la kitoto kabisa kwa ujinga wako.
  8. lutemi

    Uchaguzi 2020 Tafakuri ya kina kuhusu uchaguzi

    kabla hujaenda kushiriki kuchagua au kuchaguliwa fikiria. Kuchaguliwa Wewe utasimama kwa niaba ya watu wote. Je unajua watu wataweka tumaini kwako? Je unaakili timamu? Kumbuka watu wakifa kwasababu yako utadaiwa. Watu watahitaji uwe mfariji wao....wafariji Mshauri wao.....washauri. Mwonyaji...
  9. lutemi

    Nina tamani Wafanyakazi wa Sekta ya Afya(Madaktari) ndio wapokee mshahara mkubwa zaidi ya Wabunge

    Salamu WanaJF, Kama bandiko langu hapo juu linavyojieleza Ningependa kada ya udaktari wa binadamu wawe ndio wanaopokea mshahara mkubwa zaidi hapa Tanzania Kwanini? Kwasababu kwanza ni elimu ihusuyo uhai wa mtu na kumbuka uhai haufanyiwi mazoezi you cannot replace life. Ina gharama kusomeshwa...
  10. lutemi

    Azam Marine mambo shingoni. Zanzibar one na two mambo byeeee

    Nasikia Azam sasa hivi hali mbaya. Economy ni 20,000 badala ya 25,000. Kuna chombo kinaitwa Zanzibar One hii ni noma inakimbia hatari, one hour Zanzibar to Dar es Salaam halafu chombo kimetulia sana. lafu mbaya zaidi Zanzibar One inamtanguliza atangulie kuondoka lakini inapitwa njiani.
  11. lutemi

    Tetesi: Zanzibar na usafiri wake kipindi hiki cha Corona

    Habarini Katika kipindi hiki cha maambikizi ya ugonjwa huu hatari, naomba niwakumbushe au niwatahadharishe wakazi wote wa Zanzibar. 1. Ni usafiri wa daladala zinaitwa chai maharage Ukweli usafiri huu serikali ya mapinduzi hebu muutazame Hii ni hatari sana watu wanajazana kwelikweli. Serikali...
  12. lutemi

    Uchaguzi 2020 Ukitaka kipindi hiki kupata fedha kirahisi

    Kwa sasa tunakaribia uchaguzi. Mbinu ya kupata fedha kirahisi kama wewe ni mwanasiasa ni rahisi sana. 1. Tangaza nia kwamba unataka kugombea jimbo fulani na hakikisha unawaambia kwa kuwatuma marafiki zake na mheshimiwa mbunge kwamba nia unayo na support ni kubwa . 2. Hakikisha unajua udhaifu wa...
  13. lutemi

    Kwanini vijana wanaotoka chama cha CHADEMA wanapata nafasi za kiutawala CCM?

    Habari wadau. Najiuliza tu kwanini mtu anatoka upinzani hususani chadema anapohamia CCM anapata nafasi kubwa Je ina maana CCM Hawaandai vijana? Je ina maana vijana wa upinzani ndio zao bora? Je ina maana akina Kitila Mwita Katambi Kafulila Na wengine wengi ni bora kuliko wale wa LUMUMBA...
  14. lutemi

    CCM chama makini lakini kinanitia shaka kubwa

    Ndugu wanajamvi nawasalimu. Nimeanza kuwa na wasiwasi kwa viongozi wengi wanaosimama majukwaani na kutoa lugha za uchonganishi, ugombanishi na zaidi za chuki. Hili linanitia wasiwasi ikiwa chama cha mapinduzi chama kikongwe kama kina chuja vizuri na kutambua uraia wa viongozi wanao wapa...
  15. lutemi

    Kero kubwa ya mtandao Idara ya Uhamiaji Tanzania

    Nimekuwa Uhamiaji kwa ajili ya passport tangia alfajiri. Geti linafunguliwa mpaka saa nane siku ya Alhamisi, Ijumaa hakuna mtandao na viongozi wanafurahia tu hakuna jitihada yoyote. Waziri husika na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani hebu mulika suala hili. It's very shameful kwakweli...
  16. lutemi

    Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

    Author Dean Koontz eerily predicted the coronavirus outbreak in his 1981 thriller "The Eyes of Darkness." The fictional novel tells the story of a Chinese military lab that creates a new virus to potentially use as a biological weapon during wartime. The lab is ironically located in Wuhan...
  17. lutemi

    Serikali acheni kuvunja ndoa za watu. Kuwakatalia uhamisho wanandoa wanaofanya kazi mikoa tofauti si sawa

    Kumetokea wimbi pa ndoa nyingi kuvunjika kwasababu baba anafanya kazi Mwanza ambako amepelekwa kikazi na Serikali na mama anafanya kazi Dar es Salaam ambako naye anafanya kazi Serikalini wakitaka uhamisho wanaambiwa chagua kazi au ndoa. Kumbukeni: Ndoa ni takatifu Ndoa Mungu ndio muasisi Ndoa...
  18. lutemi

    Mtu mwenye msimamo

    Tanzania kwa sasa vijana wengi iwe kwenye sekta binafsi au maeneo ya vyuoni au mashuleni au wafanyakazi wa serikali, kumeibuka wimbi kubwa la watu kutokuwa na msimamo. Hii inapelekea kuogopa kupoteza kibarua au kupoteza mme au mke au watoto (compromising). Maisha kuwa magumu na watu wengi kuwa...
  19. lutemi

    Key thoughts

    Sometimes you are unsatisfied with your life, while many people in this world are dreaming of living your life. A child on a farm sees a plane fly overhead and dreams of flying. But, a pilot on the plane sees the farmhouse and dreams of returning home. That's life!! Enjoy yours. If wealth is...
  20. lutemi

    Je, uliwahi achwa na mtarajiwa wako, Mume/ Mke kimasihara?

    Hebu tupeni uzoefu ilikuwaje haswa ukaachwa kimasihara? Mimi nakumbuka siku moja Mjomba wangu amejiandaa kwenda kanisani kuoa na kila kitu kimelipwa ukumbi, chakula, maandalizi yote yaani binti yupo saloon anasema mimi siwezi kuolewa nimeghaili taarifa kumfikia mjomba nae akadhani ni masihara...
Back
Top Bottom