Kama uzi unavojieleza natafuta mdada wa kuniuzia duka langu la vinywaji kama nilivoainisha hapo juu🙄.
Duka ni la jumla na reja reja lipo maeneo ya tabata muslim hapa jijini dsm.
Sifa za muombaji:
1: Awe na mdhamini mwenye mali zisizo hamishika
2: Awe na elimu angalau kidato cha nne
3: Awe...
mwanzo alikuwa pisi kali balaaa ila kwasasa kaporomoka sana.. nimeshaanza kufanya utaratibu wa kumuweka sawa kuanzia mavazi, chakula na kumuondolea stress
Habari za majukumu ndugu zangu wa Jf,
Kama kichwa cha habari kinavojieleza yaani nimekuwa sina hisia kabisa na huyu binti ambae ni dhahiri kabisa anaonekana kabisa kuwa na faida kwangu.
Kwanza ni mpole, msikivu na mcha Mungu na ninaona kabisa huyu ni mke bora kabisa kwangu ila tatizo sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.