Search results

  1. Kiwi

    Hii somba somba ya watu, itakuwaje siku ya kufunga kampeni?

    Wakuu, Nimekuwa nikifuatilia sana kampeni za uchaguzi hususan za UKAWA na nimeona hakuna mahali popote pale ambapo watu walisombwa kwa malori na mabasi kupelekwa kwenye mikutano. Hapana wasanii, wala kupewa khanga, T-shirts na pesa, na bado Rais wetu Lowassa amezoa nyomi la kufa mtu kila...
  2. Kiwi

    Kumbe Mch. Mtikila alikuwa member wa JF?

    Wakuu, Katika kuperuzi humu jamvini nimekutana na hii habari. Sikufahamu kama Mtikila alikuwa mwanajamvi mwenzetu. Sasa wale waliokuja na 'conspiracy theories' kuhusiana na ajli iliyosababisha kifo chake, labda tukumbushane na hii pia...
  3. Kiwi

    Swali la kizushi: Bunge limeshavunjwa?

    Wanajamvi heshima kwenu, Wakati tunaendelea na kampeni za uchaguzi na wakati wengine tukiwa tunajipanga kuelekea Jangwani kesho kushuhudia ufunguzi rasmi wa kampeni za UKAWA, naomba kujuzwa kama Bunge lilishavunjwa? Hili swali niliwahi kuliuliza lakini nilimuudhi sana mwanajamvi mmoja...
  4. Kiwi

    Paul Sozigwa amepotea katika mazingira ya kitatanishi

    Mr. Paul Sozigwa, aliyewahi kuwa Mwandishi wa Habari katika serikali ya Mwalimu Nyerere, amepotea tangu jana mchana katika mazingira ya kitatanishi. Mara ya mwisho alionekana kanisani Mbezi Beach BCIC (kwa Gamanywa) jana Jumapili saa nane mchana. Kupotea huku kunaleta mashaka hasa kwa kuwa Mzee...
  5. Kiwi

    Msaada Laptop inagoma kuboot Baada ya kufanya Updates

    Wakuu, leo laptop yangu imegoma ku boot baada ya kufanya update za kawaida. Inatumia OS Win 8.1. Naomba msaada kwa wataalamu. Natanguliza shukrani..
  6. Kiwi

    CCM mbona kimya kingi kuhusu kifo cha Mabina?

    Wanajamvi heshima kwenu, Katika hali isiyo ya kawaida chama tawala kimekuwa kimya sana tangu kifo cha kada wake, diwani wa Kisesa, Clement Mabina. Wanajamvi kuna yeyote ameshatoa tamko rasmi (msemaji wa chama) kuhusiana na hili? Tumezoea sana kupata taarifa rasmi kupitia kwa Katibu Mwenezi...
  7. Kiwi

    No time to update voter registration for referendum - NEC

    Though Tanzanians are scheduled to hold a referendum on the new Constitution sometime next year, the National Electoral Commission (NEC) has said it is not certain if the Permanent National Voter Register (PNVR) will be updated to allow the democratic exercise to take place. The uncertainty...
  8. Kiwi

    Gari la serikali limekamatwa limebeba twiga na swala

    Gari la serikali lenye namba STK 4394 limekamatwa likiwa limebeba twiga na swala wenye thamani ya sh 55 milioni. Source twitter #ujangili ippmedia. My take: Yataisha lini? jk na serikali yako acheni kuifilisi Tanzania, siyo nchi yenu, ni ya watanzania. Vizazi vijavyo vitatuhukumu...
  9. Kiwi

    Kazi ya Dr. Bilal ni MC wa serikali ya JK?

    Heshima kwenu wadau, Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza swali kuhusu kazi ya Makamu wa Rais wa JMT, Dr. Mohamed Bilal. Job description yake kiongozi huyu wa ngazi ya juu kwenye serikali ni kuweka mawe ya msingi, kufungua makongamano, warsha na semina? Hivi hana kazi nyingine? Kila kukicha kwenye...
  10. Kiwi

    Ombi/Rai kwa viongozi wa CHADEMA, tuanzishe Siku ya Mashujaa wetu!

    Heshima kwenu wanajamvi, Nina ombi ama rai ambayo ningependa ifanyiwe utafiti na ikiwezekana iwekwe kwenye historia ya mapambano yetu ya ukombozi. Ninapendekeza CHADEMA iweke siku maalum kwenye kalenda zetu, iwe siku ya kuwakumbuka wote wale waliopoteza maisha yao kwenye harakati za kumkomboa...
  11. Kiwi

    Hivi lini viongozi wetu watakuwa na mtazamo kama huu?

    Turkish president defends people's right to protest | World news | guardian.co.uk
  12. Kiwi

    Viongozi wa serikali acheni dharau kwa wana Mtwara

    Nimesikia kichefuchefu baada ya kusikia kwenye taarifa ya habari ya ITV usiku huu kauli za kejeli na dharau isiyoweza kuvumilika kwa wananchi wa Mtwara. Mbunge wa Sumve Mh. Ndassa - 'watu wa Mtwara hawana uwezo wa kufikiria na kufanya mambo kama waliyoyafanya leo. Kuna mtu anayewasukuma'...
  13. Kiwi

    Best place in the world to be a mother is Finland...

    Best place in the world to be a mother is... - CNN.com (CNN) -- Thinking of having a baby? You may want to consider moving to Finland -- the best place in the world to be a mother, according to Save the Children's 14th Mothers' Index. The index, part of the group's annual State of the World's...
  14. Kiwi

    Zimepigwa Bungeni Venezuela... nafikiri na kwetu karibuni yatatokea

    Huko Venezuela Bungeni hali ilivurugika baada ya wabunge wa upinzani kuzuiwa kuzungumza na viongozi wa chama tawala. Kwa jinsi Spika na Naibu wake wanavyoliendesha Bunge letu nadhani siku zi nyingi haya yatatokea. Eyewitness News: Fistfight in Venezuelan Parliament
  15. Kiwi

    Hivi Kagasheki na wenzake serikalini wanayakumbuka haya maneno ya Mwalimu?

    Leo nimefarijika sana kuisoma hotuba ya Freeman Mbowe ambayo amenukuu maneno mazito kutoka kwa baba wa Taifa. Nikakumbuka kujiuliza swali linalohusiana na hilo kwenye mawazo yangu nilipomsikia jana Waziri Kagasheki akisema ya kwamba watu wa Loliondo siyo wamiliki wa Ardhi ya Tanzania, bali ardhi...
  16. Kiwi

    Ruto: Mtu wa kwanza duniani aliishi Kenya... imekaaje?

    Wakuu, Ninafuatilia kuapishwa kwa Rais wa nne wa Kenya Uhuru Kenyatta. Cha ajabu nimemsikia Makamu wa Rais William Ruto akisema ya kuwa mtu wa kwanza kuishi duniani aliishi Kenya. Nimejiuliza, mwalimu wangu wa historia alinifundisha ya kuwa Olduvai Gorge (Bonde la Olduvai) liko Tanzania. Ama...
  17. Kiwi

    How to push efficiency enhancing reforms at the port of Dar Es Salaam?

    Wakuu, nimeipata hii taarifa mahali naomba kuiweka jamvini. Wakati kuna wanaomfagilia Mwakyembe kwa hatua alizochukua kuhusu uboreshaji wa bandari ya Dar, taarifa za World Bank zinaendelea kumuumbua yeye na serikali nzima ya magamba. Habari ndiyo hiyo! The Port of Dar Es Salaam, the second...
  18. Kiwi

    DC wa Tanga nusura amsweke rumande padre

    Paroko Msaidizi wa Kanisa Katoliki parokia ya Chumbageni, Padre James Kabosa ameponea chupuchupu kuswekwa ndani na Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Halima Dendego kwa madai ya utovu wa nidhamu. Tukio hilo limethibitishwa na Mkuu wa wilaya mwenyewe, Padre Kabosa na msemaji wa Askofu, Padre Peter Kagaba...
  19. Kiwi

    ITV wekeni tafsiri ya maandishi 'subtitles'

    Wanajamvi kama mtazamaji wa ITV mara kwa mara nimekuwa nakerwa na tabia ya kuonyesha mtu ama watu wakizungumza kwa lugha ya kigeni hususan kiingereza bila ya kuwa na tafsiri ya kimaandishi (subtitles) ama hata kuweka tafsiri ya juu ya maongezi kwa kiswahili. Leo nilimwona mtu mmoja hakuwa...
  20. Kiwi

    Dar`s rent nightmare

    Why the city is overtaking Nairobi, Johannesburg and Kampala Tanzania runs a housing deficit estimated at 3 million units valued at $180 billion The current annual demand for houses in urban areas is 200,000 units Minister for Land and...
Back
Top Bottom