inapotokea spka wa bunge na mbunge fulan wanarushiana maneno,yawezekana klichopo nyuma ya pazia hakihusiani kabisa na watanzania na maslah yao bal ni mambo binafsi y hao wawil
Yaan wanawake wa dar ukiwachekea unakufa+maskin hat km unafany kaz tra.maana wanavyojua manjonjo utatamaman hata huo mkoko wako uuze ili uendelee kutesa na warembo.na usiombe ukafiliska utakufa sku si zako kwa sbb ya stress
Unajua hata radha ya chungwa moja huwa tofautikutegemeana na ni nani anaonja chungwa hilo na yupo katka hali gani.kibaya zaid hakuna ambaye huw anapenda kuitwa ana upeo mdogo kufikiria.tuombe mungu atusaidie tupate viongoz bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.