Tafadhali naomba nirudishiwe pesa mlizikata tangia tarehe 30 mwezi wa nne za Jay milioni . Mimi sija wahi kujiunga na hiyo kitu. Nimeshangaa leo sina salio kwenye simu na jana nilijiunga na kifurushi cha week.
Jamani nimekua nikikatwa pesa kila siku za kushiriki Jay milioni ya vodacom pasipo mim kuridhia. Nimeshtukia hili baada ya kuona salio limeisha na Jana nilijunga na kifurushi cha wiki. Nimewapigia customer service ndio wakanieleza nakatwa kwa kushiriki Jay milioni . Je Wandugu kuna mwingine...
Mleta mada anaonyesha kabisa anajibu ndio maana anaanza na "tuwe wa kweli" Kwangu mimi hivi ni vitu wili tofauti kabisa Diploma na Degree. Mimi nilisoma diploma kisha degree ya kwanza na ya pili tayari; sasa natafuta ya tatu PhD; Japo sikusomea ualimu ila nahisi mambo mengi yanashabihiana...
After this is the course that you can create your own employment such as providing service to mining industries, oil and gas industries, manufacturing industries etc. Services such as carrying out machine maintenance services, design and installation of refrigeration systems, designing and...
Sijaelewa unavyosema '"ina lipa?" kijana kwa taarifa yako course zote duniani zinalipa ila inategemea na jinsi ulivyoichukulia na mwenendo wa ajira katika nchi husika. Mechanical ni moja ya course mama katika engineering sio CoET tu ulimwenguni kote hii ikiwqa ni pamoja na Civil, na Electrical...
Definitely she is living in an environment of extreme poverty ; but Is she owning a mobile phone? I don't think the editor's argument targeted these group
Nilimaliza pale form four 2005. Nakumbuka sana mpande alikua anatukimbiza mabwenini. Alikua mtaalam wakukariri visogo vya wanafunzi wakiwawanamkimbia kuelekea orchard, tukaanza mbinu za kujifunika na mashati vichwani wakati wakukimbia nae akatuambia jioni kwenye assmebly 'sasa nimeanza kukariri...
Nimegundua watu wengine huleta hadithi kama hizi zakufikirika ili watu waache kujadili mambo ya msingi yakulipeleka Taifa hili pazuri. Natoa tahadhari kwa wapenda mabadiliko msipotze muda kwa hadithi za kipuuzi kama hizi
Ina maana budget ya elimu ilikua inaandaliwa na wachaga halafu ikumbukwe Kilimanjaro kuna shule nyingi sana katika nchi hii hivyo lazima mahitaji nimakubwa na hizo shule ni za watanzania sio za wachaga,
Mshaanza kulalamika kila kitu kulalama haya basi tutawaachia kila kitu mpange mnavyotaka. Huo mfumo kristo umeuona wapi. Nenda kaombewe pepo wa ubaguzi akutoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.