Search results

  1. L

    Kama MBOWE sio MESSI basi ni RONALDO

    Anastahili kutunukiwa uprofesa wa siasa za Tanzania; naunga mkono wanaopendekeza atunukiwe Phd
  2. L

    Diwani wa CCM Arusha amehamia CHADEMA

    Mzee Laizer karibu
  3. L

    Mbowe akatisha ziara yake nchini Denmark kutokana na kifo cha dada yake

    Jaribu basi kuwaza kabla ya kupost. Huwezi kupanda ndege kama basi au fuso. Unapaswa kufanya booking hii fast jet yetu yenyewe huwezi kukurupuka kwenda kukata tkt.
  4. L

    Usafiri kafiri!!!!!!!

    Yaani hapa nimecheka nimepaliwa mara 3 sina hamu.
  5. L

    Kanuni inasemaje: Waziri mkuu au Kiongozi wa Upinzani asimamapo bungeni?

    Simply WM yuko madarakani while KUB anawakilisha minority haibadili majukumu. You should learn how these titles works. Ndo maana siku ya maswali kwa WM anaanza KUB then the rest wanafuata.
  6. L

    NGONO: Kivutio kingine cha utalii nchini Tanzania

    Na usuke rasta. Nilishakutana na wengi VIAVIA nimetinga suti yangu they keep asks me ridicuousily ' ar u a pastor?' when i answer back 'no, enterprenuer' wanaona mhh huyu sio, wanasepa!
  7. L

    Majambazi saba yakamatwa dar wakiwa na sare za askari polisi

    Kumbe majambazi yametoka kupora wanawahi maskani.
  8. L

    Majambazi saba yakamatwa dar wakiwa na sare za askari polisi

    Mkuu hii nimeipenda sana. We ni genious.
  9. L

    Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza dawa za kulevya

    Mkuu Marmo alishahamishiwa Ujerumani, after all hiyo barua imeandikwa na wafungwa walioko magereza za Hong Kong. China hawafungi, wananyonga wauza/wabeba sembe; bahati tu wale walikamatiwa Hong Kong ambako sheria ni laini kidogo km huku Tz.
  10. L

    Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong

    Kwa maana hiyo mkuu Masongange & Co ni wanyarwanda na si watz?
  11. L

    Utapeli huu unawaharibia vodacom

    Mkuu hiyo watoto wa mjini wanaita "flush message". Mteja anakuja anakuuliza kama anaweza kutoa sh. 1,000,000/=. Ukimwambia atoe, utashtukia imeingia sms ya pesa kuingia kwenye account yako; ila ukiulizia salio lako hautaiona hiyo millioni kwani itasoma salio kabla haijawekwa (kwa maana kwamba...
  12. L

    Kwanini Tendwa hajasema chochote juu ya Brigade ya CHADEMA

    Mkuu unamaanisha RGB (primary colors spectrum) imekamilika?
  13. L

    Waziri Mkuu Pinda angeomba radhi kwa watanzania ili kurudisha heshima yake

    Kwa hili la PM, ningependa tukumbushane wimbo alioimba Bob Marley katika sherehe za uhuru wa Zimbabwe mpaka ukamgusa Mwl. Nyerere: Every man gotta right To decide his own destiny And in this judgment There is no...
  14. L

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    Daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nakumbuka mbali enzi
  15. L

    Hisia za wananchi wa Jimbo la Arusha (M), muda mfupi baada ya Lema kushinda rufaa

    Haki ya mtu huchelewashwa tu katu haiwezi kupotea
  16. L

    Historia ya kweli ya maisha ya Sheik Ponda na Fareed ni muhimu

    Havard product????, I doubt if they produce this kind of you; (according to your narrow/thin mind or absent mindness)
  17. L

    Vipeperushi zanzibar

    Huo ndo mwanzo wa kuuvunja muungano; kumbuka maneno ya Mwalimu JK Nyerere:
Back
Top Bottom