Jr umekuwa msaada wa mambo mengi kwa wale wenye kujitambua ila kwa watu wa masihara hawawezi kukuelewa. Kwangu nimekuwa mdau sana wa maada zako. Long live Mshana Jr.
Sent from my SAMSUNG-SM-G930A using JamiiForums mobile app
Siku 1 nilipigiwa simu na dadaflani jina (S) niende nikamsalimie kwao, baada ya kufika pale nakuta yuko pekeake maana wazazi wake walikuwa wamesafiri na katika kupiga stori mara kaleta chai pale huku stori zmenoga. Muda si mrefu kaja kukaa 0 distance nkajua huyu anataka chezo bila tongozo nami...
Nimekuwa karibu na mtu ambaye amekuwa na mahusiano na pepo. Dunia ina mengi sana jamani yaani ilifka wakati ukimuuliza tu habari ya hilo dude lake sauti inamkauka hapohapo na hawezi ongea tena mpaka kesho yake!
Inatokea mpo matembezini mbali kabisa na nyumbani na mkiagana hazipiti dk 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.