Search results

  1. Balozi wa Dodoma

    Mcheza Mpira Victor Wanyama, apewa jina la mtaa jiji Dar, Meya atoa ufafanuzi

    Kibaki amelifanyia nini Taifa la Tanzania? ambacho wa Tanzania wenyewe wameshindwa kukifanya?
  2. Balozi wa Dodoma

    Mcheza Mpira Victor Wanyama, apewa jina la mtaa jiji Dar, Meya atoa ufafanuzi

    Kiungo wa klabu ya Tottenham ya Uingereza, Victor Wanyama Jana alikuwa mgeni rasmi katika mchezo wa michuano ya Ndondo Cup uliopigwa jana jioni kwenye uwanja wa Kinesi Sinza. Kutokana na heshima kubwa ambayo Wanyama aliyoonyesha na nia ya dhati katika kushiriki kuibua vipaji vya soka mtaani...
  3. Balozi wa Dodoma

    Barmedi kanipenda, kutokana na kazi yake naona aibu kuwa naye. Nifanyaje?

    Mfahamu Eliza, Binti mrembo anayesambaza VVU kwa makusudi Patam hapo
  4. Balozi wa Dodoma

    Wanaume acheni kujifanya mnajua sana shughuli before sex

    La ajabu utaliona pale urakapo muuliza mama yako mzaz km aliwai kum cheat baba yako. Wasichana wa mwendokasi mnatabu sana. Kati ya mwanaume Mchafu wa tendo na mwanamke mchafu wa tabia yupi ni kituko? Hakuna malaika msafi kwenye kundi la mizukule lkn kuutukuza uchafu wenu ndio mbele ya...
  5. Balozi wa Dodoma

    Karibu Dodoma, hii ndo Dodoma kwa Ufupi

    Ahaaaa ohooo hapo sawa. Nilidhani ukorofi. Niwie radhi tafadhari.
  6. Balozi wa Dodoma

    Karibu Dodoma, hii ndo Dodoma kwa Ufupi

    Mimi sio Mrangi ila nawajua vyema Warangi Kutoka kona zote za Kondoa ,chemba, haubi,Aneth,Pahi,Mnenia,Itundwi ,Mondo ,Simba, Chandama mpk kule Soya n.k Warangi hatari sana ni wale Weupe wa kondoa Kaskazini na Wa Farkwa wenye mchanganyiko na Wasandawe. [emoji45] utapigwa ndere mpk usahau...
  7. Balozi wa Dodoma

    Karibu Dodoma, hii ndo Dodoma kwa Ufupi

    [emoji45] ukorofi ni tabia ya mtu.haina uhusiamo wowote na Rangi ya ngozi yake.
  8. Balozi wa Dodoma

    Karibu Dodoma, hii ndo Dodoma kwa Ufupi

    Dodoma kuna Wanawake Weupe kutoka Kondoa hawa ni wapole ,wakarim na wasio wachoyo. Pia kuna Wanawake Weusi Hawa ni wachapakazi sana. Karibuni Dodoma
  9. Balozi wa Dodoma

    Wanaume acheni kujifanya mnajua sana shughuli before sex

    Uwe na Akili M.b.w.a we . Wewe ni mke wa MTU tena Mwenye watoto, unaonaje sifa kutangaza hadharani Kugongwa nje ya ndoa? UZINZI tuu unakusumbua.
  10. Balozi wa Dodoma

    Nimekuta 74,549,940.36 kwenye account yangu

    Watoto wa Kishua ndo mnaomba ushauri wa kijinga humu. Ndege kajileta mwenyewe bandani kwanini usimtafune ? million 70's zingeingia kwangu Leo kesho ningekuwa Ruhaa Mbuyuni na Mang'ola kufanya yangu.
  11. Balozi wa Dodoma

    Nimeondolewa Payroll

    Wewe ni kijana wa Bavicha. DP yko tu inaonesha. nafkiri uko kwenye hatua za kuisoma number.
  12. Balozi wa Dodoma

    Kwa Hili WCB mmechemsha

    Otherwise uwe hu ujui Muziki. nilitamani sana nikukumbushe enzi za Crew ya Junior Mafia ile crew iliyokuwa ikiongozwa na Rais Notorious B.I.G huku humo ndani kukiwa na wakali kibao km Puff Daddy a.k.a P Diddy, Lil Kim a.k.a Queen B, na Rap Master Lil Sizz. lkn kwa kuwa umeonesha huujui...
  13. Balozi wa Dodoma

    Diamond platnumz aweka record mpya

    Ni yule Nyota Alie washawishi wazaz wako wapende Afro Pop
  14. Balozi wa Dodoma

    Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

    We muhaya hujaulizwa hayo yote. Punguza ma sifa
  15. Balozi wa Dodoma

    Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

    Digrii za kutongoza wake za watu na Phd za ujuaji wa kijinga wa kila jambo.
  16. Balozi wa Dodoma

    BASATA yalifungia tamasha la Zari All-White Party

    Simple tuu. Iliyokatazwa ni ZARI ALL WHITE PARTY . Natarajia Diamond na Mpenzi wake watafanya "ZARI ALL RED PARTY" Otherwise walenge kumkataza ZARI mwenyewe kufanya kazi zake Bongo.
  17. Balozi wa Dodoma

    BASATA yalifungia tamasha la Zari All-White Party

    Simple tuu. Iliyokatazwa ni ZARI ALL WHITE PARTY . Natarajia Diamond na Mpenzi wake watafanya "ZARI ALL RED PARTY" Otherwise walenge kumkataza ZARI mwenyewe kufanya kazi zake Bongo.
Back
Top Bottom