Wewe utakuwa ni mdau wa shule binafsi maana umeshaona kifo shule zenu, mlikuwa mkitumia matokeo ya darasa la saba kujitangaza kwahiyo hamna tena cha kutumia kujitangaza. Inabidi uelewe kuwa elimu kuanzia awali hadi kidato cha nne ni lazima kila mtu aipate kwahiyo unaweka mitihani ili iweje...
Huyo ni mwanamke usitegemee kwamba hayo yote kayafanya kwa mshaara wake, alikuwa na masponsor, sisi tuliyopo kwenye game ndo tunaelewa, usilete sifa za kijinga.
Ligi kuu Uingereza ni nyepesi sema ina timu nyingi zinazoshindania ubingwa tofauti na ligi nyingine unakuta timu zinazoutaka ubingwa ni mbili au tatu. Angalia perfomance za timu bingwa misimu ya hivi karibuni timu zinachukua ubingwa na point 90+
Hawa mashabiki wa manure huwa hayaeleweki wanataka nini, hata kipindi cha Ole walisema bora Mourinho, wakimfukuza 10 hag baadae watamkumbuka. Man U mkubali mpitie kipindi cha kujenga timu msitake mafanikio ya haraka haraka, timu sasa hivi EPL ni nyingi zinazoshindana kwa ajili ya ubingwa ndo...
Karibia mwezi mzima nipo jijini Mwanza, jambo ambalo halikunifurahisha ni hili la wanafunzi au makundi ya vijana kupiga kelele njia nzima, bora hata wangekuwa wanaimba ila wao ni kelele tu wooioiii,wooo,weeee, hadi mtu unajiuliza wamepatwa na nini hawa watu, ni ushamba wa kusafiri au nini maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.