Habarini wana Great Thinkers,
Natafuta wakili au mwanashetia aliyopo Mbeya. Nina mgogo wa ardhi/shamba ambao ulisikilizwa kwenye mahakama ya mwanzo na imetolewa hukumu. Sasa nahitaji kukataa rufaa mahakama kuu mjini Mbeya.
Hivyo basi nahitaji wakili au mwanasheria aliyepo mjini Mbeya ili...
Wadau habarini za leo
Naomba kujuzwa je kuna uwezekano nikuwa na gari lenye plate number za nchi jirani na nikata kuitumia hapa nchini kwetu Tanzania kwa muda then ndio nibadilishe nmaba kwa kufanya usajili?
Ni taratibu zipi zinatumika kutumia gari hiyo hapa nchini? Mana niliwahi kusikia kuwa...
Habari wandugu!
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age).
Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa...
Naomba kujua nianzie wapi msaada tafadhali. Kuna kijana mmoja na mzee mmoja wamenitapeli pesa ambayo nilikuwa nawapa kwa ajili ya kilimo. Kuna baadhi ya pesa tulipeana kimaandishi na zingine hamna maandishi. Na hao watu wote sifahamiani nao kwa karibu. Sasa wamenitapeli kwa hiyo natafuta msaada...
Samsung galaxy grand max ni mpya kabisa na ni original kutoka Korea.
-ni line moja
-GB 16
-ina camera yenye ubora wa hali ya juu
Zinapatikana Dar, Moro na Dodoma
Wahi zimebaki chache.
0677177140/0620271291
ONLINE JOB/WORK FROM HOME
1. Ingiza kipato cha $5-$100 kwa siku popote ulipo kwa kutumia facebook page yako au social network zingine
3. Uwe angalau na ujuzi kidogo wa kutumia internet na lugha ya kingereza
3. Lazima uwe na smartphone au computer
4. Kwa maelezo zaidi njoo inbox
NB:KWA WALIO...
✅ Part time/full time job.
1. Earn 20$-100$/day
2. ALL COUNTRIES ARE INVITED
3. Investment free joining and Free guidance.
4. 100% legal.
We are giving our all proof of work and payment.
5. Only serious candidates are required.
You should have a little bit of Internet knowledge and English...
Habarin Wadau
Mimi naomba kuuliza kuhusu hii kozi ya public health (MPH).Je mtu anawezaje kujiajiri akisoma hii kozi?
Na vipi kuhusu soko lake la ajira kwa sasa na baadae?
Karibuni wadau kwa michango yenu. Na ushauri pia
Habar zenu wakuu. nauza simu zifuatazo:
1. LG 3 cat6-550,000tsh
2. samsung s3- 350,000tsh
3.samsung s4- 420,000tsh
4. samsung note 2- 450,000tsh
5. samsung note 3- 600,000tsh
6. LG pro- 500,000tsh
NB: simu zote ni original line moja , mzigo utaingia tar 24 kutoka Korea
aina zingine za simu pia...
Habar zenu wakuu. nauza simu zifuatazo:
1. LG 3 cat6-550,000tsh
2. samsung s3- 350,000tsh
3.samsung s4- 420,000tsh
4. samsung note 2- 450,000tsh
5. samsung note 3- 600,000tsh
6. LG pro- 500,000tsh
NB: simu zote ni original line moja , mzigo utaingia tar 24 kutoka Korea
aina zingine za simu pia...
Habari zenu wanaJF, kwa wale ambao watahitaji simu aina za samsung, LG na iphones zote ni original kutoka South Korea. nitakuwa bongo December ya mwaka huu 2016. kama unahitaji nitumie pm inbox tuwasiliane kwa kuweka order yako.
zitakuwepo za bei ya chini kuanzia 250,000 na kuendelea. Laptops...
Habarini waungwana wadau wa JF hasa jukwaa hili
Mwenzenu blog/site yangu haiko hewan kwa ghafla tu na sijui tatizo ni nini, nikifungua inaniambia account suspended
hapo mwanzo nilikuwa na adsense na zilikuwa zinadisplay kwenye site lakini baadae zikapotea tu, nilipofuatilia inaonekana google...
TANGAZO: Nyumba inauzwa, ipo maeneo ya kihonda karibu na mizani, ina ukubwa wa vyumba 3 vya kulala,kimoja ni MASTER, jiko, dinning, sitting room, choo na bafu. Na eneo nyumba ilipo lina ukubwa wa ekari moja, bado kuna eneo kubwa limebaki waweza kujenda nyumba ingine,nyumba imezungushiwa ukuta na...
Habarini za Usiku huu wana JF.
Naombeni msaada au ushauri kwa jambo hili.
Nimetumia parccel kutoka nje ya nchi (smartphone 2) kwa EMS, risiti inaonyesha siimu zina gharama ya usd 80 na jamaaa amelipia insurance.
baada ya mzigo kufika bongo posta wakaaniambia niende TRA ili wafanyee hesabu ya...
Habar zenu wana JF
Naombeni msaada, nina site yangu (Udaku Leo - Pata udaku daily) ambayo hapo mwanzo adsense zilikuwa zinadisplay bila tatizo kwa zadi ya mwaka, lakini sasa ghafla tu zimeacha kudisplaya na sijapata information yoyote kutoka kwao kwa nini adsense hazidisplay kwa sasa. naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.