Mrejesho ni kwamba mtoto alivyofikisha miaka miwili alisepa ila jamaa aliyempa ujauzito alifariki mtoto akiwa na miaka miwili, kwa Sasa tangu aondoke mwaka 2019 ndio anataka kurudi na Mimi simtaki tena japo sijaoa tena ila na mtu mwingine
Ukikubali kuoa single mom ujue utalea mtoto wake kwa hiyo usijidanganye kuwa anakupenda, ili single mother akupende nawewe penda mtoto wake na ishi na mtoto wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.