Search results

  1. B

    Tumaini Makumira university vipi?

    Jamani kama kuna mtu anafahamu hawa Tumaini University Makumira wanatoa lini majina ya waliochaguliwa second round atujuze maana nimechoka kuangalia profile yangu TCU ikiwa imeandikwa Waiting for Approval. Hawa jamaa wapo serious kweli? siku za vyuo kufunguliwa zimeisha sana na wanafunzi...
  2. B

    Bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015 ipunguze vifo vya kina mama

    Ndugu wana Jamii Forum Tafadhali shiriki nasi katika kutia shinikizo na msukumo ili serikali itenge bajeti ya kutosha mwaka 2014 na kufikia malengo yake kama ilivyo ahidi. takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake 8700 nchini Tanzania hupoteza maisha kila mwaka kutokana na matatizo ya uzazi...
  3. B

    Tuchangie maoni juu ya uboreshaji wa Elimu ya Awali

    HakiElimu nimeona wameanzisha kampeni ya kuboresha elimu ya awali, Binafsi naona hili ni suala la kizalendo sana hasa ukiangalia elimu yetu inavyokwenda mrama, mpaka inafikia watu wanamaliza std vii hawajui kusoma na kuandika. Tuchangieni mawazo jamani kwenye mitandao yao, nimeiona hii page ya...
Back
Top Bottom