Jamani kama kuna mtu anafahamu hawa Tumaini University Makumira wanatoa lini majina ya waliochaguliwa second round atujuze maana nimechoka kuangalia profile yangu TCU ikiwa imeandikwa Waiting for Approval.
Hawa jamaa wapo serious kweli? siku za vyuo kufunguliwa zimeisha sana na wanafunzi...
Ndugu wana Jamii Forum
Tafadhali shiriki nasi katika kutia shinikizo na msukumo ili serikali itenge bajeti ya kutosha mwaka 2014 na kufikia malengo yake kama ilivyo ahidi.
takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake 8700 nchini Tanzania hupoteza maisha kila mwaka kutokana na matatizo ya uzazi...
HakiElimu nimeona wameanzisha kampeni ya kuboresha elimu ya awali, Binafsi naona hili ni suala la kizalendo sana hasa ukiangalia elimu yetu inavyokwenda mrama, mpaka inafikia watu wanamaliza std vii hawajui kusoma na kuandika.
Tuchangieni mawazo jamani kwenye mitandao yao, nimeiona hii page ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.