Mimi ni mmoja kati ya wapenda Burudani na muumini mzuri wa Live Band. Toka nimehamia Dodoma mwaka 2017 nimekuwa nikihudhuria Burudani ya Live Band sehemu Moja tu ninayoikubali nayo ni Royal.
Hapa kuna Live Band mbili kati ya TNC chini ya Taz (inapiga Ijumaa na J2) na Bendi ya Bushoke (inapiga...
Wewe unafikiri hizo kamati za ulinzi na usalama zinakurupuka bro. Hizo kamati pia zina waislamu walishapandikizwa huko na wakaona kuwa wanachofundishwa ni zaidi ya karate na judo
kuna watu wana added advantage, pamoja na kuwa na lower second unakuta mtu kuna sehemu aliwahi kufanya kazi, hivyo ana experience au kuna ujuzi mwingine anao zaidi ya hiyo ya GPA darasani>
Yaani kwa sasa gentlemen cars in town kwa Tanzania ni Land Rover Discovery kuanzia series 2 na kuendelea. Wanaoendesha haya magari kwanza ni watu fulani hivi wanaonekana ni wastaarabu na wasio na vurugu barabarani.
Halafu always utawakuta vioo vipo juu, hii inaonesha ni watu wa kipato cha kati...
Yani mujahidina bana mnanifurahishaga sana, yani linapokuja suala la mnyama pendwa huwa mnajifanya mnaijua qur'an lkn yale mambo yetu mengine mnajifanyaga kama kwny qur'an hayapo!! Mnafiki hatoiona pepo!!
Mi kuna demu nilikuwa nadate nae, kuna siku akanambia ana shida na elfu 50 ilikuwa katikati ya mwezi basi siku hyo nilikuwa na elfu 20 nikampatia nikamwambia shika kwanza hii hyo elfu 30 nitakupa mwisho wa mwezi ambapo ni kama wiki moja itakayokuja. Akaniambia hii elfu20 nachukua na naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.