Nawapongeza sana CHADEMA kumteua huyu dada Ubunge Viti Maalum anastahili kwa kweli maana alikuwa jasiri kureport habari ambazo zingemtia matatani.
Tutammiss sana wapenzi wa ITV.
Nimekuwa nikiambiwa na kijana wa kazi kuwa mke wangu huniwekea dawa kwenye chai.Nimefanya utafiti na kubaini kuna ukweli.
Hivi nifanyeje? Nimuache nashindwa nifanyeje.
Advice please stop jokes
Mimi siyo mtumiaji wa ndege kama chombo cha usafiri sana ila chakushangaza jana usiku nimeota tumepanda ndege ile ina take off kama dk tano tukiwa tunalikaribia ziwa kama mita 20 ikaanguka.
Ila wote tukanusurika nikawa namshukuru Mungu ndotoni nakuwaza ingekuwa imezama kwenye maji tungekufa...
The King Ally Kiba fans' special thread,
Tujumuike hapa (11,191) »( ... Last Page)
Diamond Platinumz fans' special thread: Njooni
tukutane hapa (4,735) »( ... Last Page)
hata kwa hili inadhibitisha kuwa watu uwa wanamchoka mtu na kumshabikia mwingine na unavyo ona followers weng ndo...
Neno la Mungu linasema watu wangu wanateseka na kuangamia kwa kukosa maarifa. Kama umekosa ajira kwa muda mrefu hadi umehasi imani yako na kwenda kwa waganga fanya haya utakuja na ushuhuda very soon.
Weka utaratibu kila siku saa tisa au nane pakiwa shwari kabisa uwe unaamka na kutumia dakika...
I must have sex with ma wife every day unless she is sick or mp, i have tried to investigate ma friends but most of them refused to do it everyday so is normal or something is wrong.
Stop jokes friends
jaman kama unasoma aya masomo na upo bukoba tusaidiane au atakama husomi ila unajua mtu aliyepo huku anayesoma au kufundisha aya masomo nisaidie.be blessed
kuna rafiki yangu kasoma sheria anataka asome masters ya education kuna kaka kaniambia eti anaweza kupewa postgraduate diploma in education na masters at the same time is it possible friends?
nimetafuta sana kazi bira mafanikio tukaamua mimi na mchumba wangu tuwe tuna amshana saa9 usiku kwa maombi maalum,ndugu zangu Mungu kajibu haraka nimeitwa kama sehemu tatu amakweli binadamu anateseka kwa kukosa maarifa kidogo,try the power of lord
Kwa wale mlioko Morogoro Mjini ningeomba mnijuze wapi kuna review classes za CPA na kama kuna watu naweza discuss nao just naomba tuwasiliane 0686399397.
Thanks in advance and nice time
ndugu zangu lengo la mmu nibora liwe kujenga na siyo kumsaidia lucifer kuupoteza ulimwengu!! utakuta mtu anaomba ushauri mambo ya ngono hata siyamsingi na mwingine anajicfia kwa ayo,na mwingine ana amasisha watu watongoze wake wa wengine nakusodomize
ndugu zangu nipo morogoro naitaji kufungua biashara ya kuuza kitimoto ningeomba wenye uzefu mnisaidie nijue mambo ya msingi yakuzingatia na kama kuna mtu wa morogoro mjin anisaidie jinsi ya kupata walipo kiraisi.thanks in advance
kuna jamaa yangu fulan kahusle muda fulan then kapata kazi sehemu,kabla ya hapo tulikua tunawasiliana nakutiana moyo,siku moja nilimuomba msaada kidogo akawa hana,sasa tangia hapo ata nikimcall cm hapokei,ndugu zangu tusiwe tunasahau tulipotoka jaman
inashangaza siku izi ata mzazi anaijiita mkristo anajua fika bintiye au boy anatembea na mtu et uchumba2 na anafurahi bila kukemea! watu wanawaita wazinzi shem!! chakushangaza binti mmoja kapata mchumba ye adai awez olewa bfore ....nn kfanyke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.