Wizara ya Elimu inayoongozwa na Alhaj Jumanne Maghembe (MB) akisaidiwa na Hajjat Mwantum Mahiza (MB) hivi karibuni kumekuwa na malalamiko ya upendeleo hususan katika ugawaji wa Scholarship za kwenda kusoma nje. Katibu mkuu wa wizara hii ni Alhaj Khamis Dihenga
Jamaa yangu wa karibu wizarani...
Habari iumejaa udaku mtupu, sijui vyanzo vya kuaminika, sijui mtu ambae hakutaka jina lake litajwe, sijui uchunguzi wa gazeti letu nk haya ni mambo ya kutunga na kufikirika zaidi kuliko ukweli, lakini kwa kuwa hayo ndio tunayopenda kusikia tuendelee kujadili upupu huu
Huyu mama ni m-pambanaji na amedhamiria kupinga ufisadi kwa msio mjua mama Simba hanunuliki ni mtu wa msimamo na hateteleki.
Tatizo ili mtu awe mpinga ufisadi lazima awe na surname Mwakyembe, Selelii, Kilango, sendeka, kimaro et al. Mnaibinafsisha vita ya ufisadi kalabagho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.