Katika hali ya kawaida ni ajabu kwa mtu kuamua kuthaminisha andazi na mtu au taasisi. Hata hivyo, kama ambavyo Sheria ya Sababu na Athari (Cause and Effect Law) ya Aristotle (384–322 BC) inavyoeleza; kila kitu hutokea kwa sababu na kila athari huwa na sababu maalumu.
Aristotle anaona kuwa...
Ndugu wanajf mwaka unatamatika.Natamani mwaka ujao niwe mjasria mali.wazo langu nikumiliki kampuni yangu ya uchapishaji wa vitabu.(publishing co.)NAOMBA USHAURI WA HATUA ZA KUFUATA ILI LENGO LANGU LITIMIE.
NB:Ningependa kufaham pia gharama zinazo hitajika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.