Umeeleza vizuri ila hapo mwisho umekosea.
DC sio junior kwa CDF, kwasababu DC NI MUWAKILISHI WA RAIS kwenye wilaya aliyopo. Hapo CDF anamsalimia 'tuseme' Rais wa wilaya ya Kisarawe, kwa lugha rahisi. Hata IGP anampigia salute DC kwasababu ni muwakilishi wa Rais.
DC kujibu salam kwa kukakamaa...
Lakini Kenya, Rwanda na wengine kama Ghana lockdown imewashinda kwasababu mazingira yetu hayaruhusu.
Ukitaka jifungie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya hawajafanya lockdown bali curfew.... Angalia tofauti ya population ya Rwanda na wenzake kisha uone walifanya nini ku-enforce hiyo lockdown! Kama unaihitaji jifungie na familia yako nobody will question
Sent using Jamii Forums mobile app
Lifespan ni miaka 4! Na inaweza ika expire hata kama hujaitumia.... ukitaka kununua angalia tyre utakuta limeandikwa mwaka wa kutengenezwa. Ikifika miaka 4 inakua ndio mwisho wa matumizi hata kama hujaitumia (ina expire)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mzee unataka waajiri kila mtoto na mwalimu wake? Changamoto ni kwamba wahitimu wamekua wengi kuliko nafasi za kazi.... na hii sio Tz pekee bali dunia nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana. Japo pia kuna factors kadhaa zimekusaidia mfano kuwa na mjba SA na kuweza kujisomea vitabu. Wabongo wengi hawapendi au hawawezi kujisomea vitabu. Ile miaka ya chuoni umebadilishana na hivyo vitabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna DC anaweza KUJIUZIA gari. Mali ya serikali inauzwa ikifika uchakavu (depreciation) sifuri. Na inauzwa bei yoyote (inakua ndogo) kwasababu value yake inakua sifuri.
Wanaouza ni wengine sio DC
Sent using Jamii Forums mobile app
mc gregor, Sasa jamani tushike lipi? Juzi ilikua mnampongeza Museven na Kagame kuwaamrisha watu wakae ndani.... Mkamsema Magufuli kisa karuhusu watu wakatafute riziki. Leo tena mmebadilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachofanya ni kuzuia lawama watu wao wakihitaji evacuation, maana imebaki ndege moja tu! Hawataweza kuja kuwafanyia evacuation plan (kuwaletea ndege binafsi) ili iwaondoe, so wanawakumbusha kama ni kuondoka waondoke
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.