Nimefika kwa ndugu kama ugenini kanipokea vyema, nikaishi hapo siku za mwanzo na kawaida limoti ya tv ilikuwa ipo hapo sebuleni kwenye kabati, cha kushangaza baada ya kama wiki ile limoti ilihamishwa makao ikawa inakaa chumbani kwa kaka. Sasa sijui tatizo ni nn
Wala msijisumbukie mtakula nini na mtavaa nini, baba yenu yupo. Akaongezea kwa kusema,angalini ndege wa angani hawapandi wala hawavuni, hata hivo mungu huwalisha. Upande mwingine maandiko yanasema, ASIYEFANYA KAZI ASILE.
Nini nifanye kila ninayejitahidi kumuonye mapenzi ya thati ananiona zoba na kunikimbia, sasa mwaka huu nabadili mchezo. Nimechoka kuumizwa ngoja na mm niumize 2one kama ni fresh hamna kupenda tena mm ni mzee wa nje ndani mguu mmoja nje mwingine ndani hata akinikimbia poa ctaumia sana.
Napenda kuwashauri watanzania wote jitahidini kufanya kwa ujuzi sio fununu hii itakufanya uonekane mfanyakazi bora sio kukurupuka tu kufanya kazi usiyo na ujuzi nayo kisa unasikia wanafa hivi
Navyoelewa kiongozi yeyote ni sawa baba ndani ya familia kiasi kwamba chakula kikipelea baba yuko tayari kulala njaa ili familia yake washibe. So kama ww una mpango wa kugombea uongozi wowote 2015 zingatia hayo hapo juu. Hatuto mwabudu wala kumunyenyekea kwa sababu tu ni kiongozi. Kifupi hatuna...
Najua 2naelekea kuuaga mwaka tuaanze mwaka mpya, ushauri wangu usipende sana kila kitu utafuniwe ww umeze, ongeza juhudi uepuke misaada ya masimango kwa ndugu wenye nazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.