Habari,
Nauza Suzuki carry bei 6.0M.
Ipo kwenye hali nzuri.
Ina Bima inayoisha Agust,2015 na kibali icha TRA kinachoisha July,2015.
Kama unahitaji please PM.
Kiukweli hizi gari kwa sasa zimepanda sana....na huwezi kupata gari yenye engine bora kama hii,vibali,bima na tairi mpya kabisa..kiukweli gari ipo poa sana..karibuni wote.asante.
Habari,
Nauza Suzuki carry bei 6.0M.
Ipo kwenye condition nzuri.
Ina Bima inayoisha Agust,2015 na kibali icha TRA kinachoisha July,2015.
Kama unahitaji please PM.
kaka mbona haujatoa contact zako,vijana tupo tunajua hivyo vitu vyote na tunazunguka tu humu mitaani,ebu toa hizo details ili tukutafute haraka inavyowezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.