Dah Habari mbaya hii kusikia kwa siku hii ya ufufuko wa Masiah..Ila hilo basi mwendo wake unajulikana na kuna siku muungwana mmoja alisema hili basi likipiga mzinga utakuwa ni balaa. Dereva wake wananyosha sana goti na kuinunia lami.
Zipumzike mahala pema roho za marehemu wasionahatia.
Kwa mtajii huu naona watu wa CAG watakuwa wameneemeka sana huenda kila wanapokwenda kufanya uchunguzi bahasha nene wanatoka nazo.
Ila yaonekana dhahiri hizi tuhuma zina ukweli ndani yake...
Wacha atoke tu mana alikuwa anatutia aibu tu afu alitaka awepekee tu kwenye nyumba ya kaka mkubwa na mwenzie atoke..Atakuwa amesaidia kupunguza washiriki kabla ya muda uliopangwa..hata huyo Luclay nae anaweza kutoka mana ni radical kweli
Kikombe cha sukari hakiwezi kubadilisha ladha ya maji ya bahari!
Hata sikio la kufa huwa halisiki dawa asilani!!..Ngoja tuone pimajoto ya blues usku wa leo!!
Bora kwa ccm achukue yule mbunge wa kongwa anafaa kiasi..Bwana JOB NDUGAI...ila sitta nae anauzoefu na pia anaweza kuhimili mikikimikiki ya chama twawala.
Hivi kwa upande wa wapinzani bado hawajajipanga kwa hili la uspika?
Kumba kisa..King Makusa akiwa na Bima Lee kuna wimbo mmoja wa zamani unaitwa Kipini cha dhahabu..
..Magengee mengine mabayaaa..ooho mama watoto
..watu wanapokusanyikaa...wengine hufaidika...Wengine wanapotea
..Wengine huwadanganya wenzaoo .kutaka maisha ya juuu mamaaa
...
Sijui yupo wapi TIZED...
Farewell Sammi
Sammi told Biggie that he was having trouble sleeping. Biggie told Sammi that the doctors report. According to the doctors Sammi was suffering from elevated hypertension. The doctor suggested that Sammi leave the Big Brother House and get bed rest.
Sammi was asked how feels...
Hii ni kweli kabisa yupo kwenye WAMA!..huenda chapuo imetoka kwa mama na zengwe zaidi kwa Ridhiwan kwenda kwa Bashe..so ukiunganisha ya mama na mtoto basi baba anakuwa hana lakufanya kinyume cha wapendwa wake!
The open ceremony begins at 2pm (1200GMT) in Johannesburg's Soccer City but former president Nelson Mandela will not attend after it was revealed his 13-year-old great-granddaughter had been killed in a car crash as she returned from the pre-World Cup concert last night
Hao ndo wananogesha mpira na kuutoboa mfuko wakati huu wa tarehe dume!!I'll watch in my local bar Le Pub Loure ndani ya Keko kuna BIG screen ambayo hata macho macho ya mlevi yanaweza kumwona vyema makoena
World Cup 2010: Benni McCarthy dropped by South Africa
South Africa coach Carlos Alberto Parreira has dropped West Ham striker Benni McCarthy from his final 23-man squad for this summer's World Cup. The 32-year-old, who is his country's record goalscorer, has struggled with his fitness and...
Giro any updates!! au hujaona jana mtoto wa kiingereza alivyostruggle kurejesha heshima kwa 5 sets.
Mtu mzima wangu Fed nae kafanya kweli kwa second round.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.