Mambo zenu wataalam,
Naomba msaada wa simple point of sale software ambayo inaweza ikatumika kwenye retail pharmacy/shops.
Iwe na:
Uwezo wa kuvuta current stock with total cost of items
Kutrack item movement
Naweza kuipataje?
Asanteni
Habari wadau.
Naomba kujuzwa,foreign used Toyota Platz apa Dsm naweza kupata kwa bei gani.
Je kuna zenye 4WD?
Nahitaji kwa ajili ya apa na pale za apa mjini.
Nasubiri maoni yenu, maana hapa ndo Kisiwani
Nimepitia Katiba pendekezwa vizuri-
Mambo mengi yaliyopendekezwa ni mazuri.Pamoja na uzuri wote,wajumbe wote wameshindwa kuona kosa la ki ufundi la kuingiza mahakama ya kadhi kwenye katiba:-
Ni kosa kwa nini,katiba ni ya watanzania wote,wenye dini na wasio nayo. Sasa kwa nini tuingize hii...
Habari Wadau,
Nauza BAJAJ MIGUU MITATU
ZIKO DAR ES SALAAM KINONDONI
MOJA NI T..BVV NA NYINGINE NI T...BKS RANGI YA BLUE
ZOTE ZINA KADI HALISI,ZIMELIPIWA INSURANCE NA ROAD LICENSE MPAKA NOV 2014 NA ZINATEMBEA
BEI NI TZS 2.5M KWA MOJA,MAZUNGUMZO YAPO KIDOGO
KWA WALIO TAYARI KUZIONA NA...
Hie
I'm looking for a company which can provide the above service(s) at affordable costs in relation to the quality of services offered!
Location:-Dar es salaam
Contact:0713473166
Needed-Urgently
Thanks
Comment-Good paying opportunity-CHANGAMKIA
ninayo nzuri 4 stroke ina insurance na road licence pia nimeilipia ushuru,haiitaji marekebisho yoyote,pia nimefunga mziki,bei 3.2ml tzs kama unahitaji kuiona iko moroko dsm piga 0713473166 kwa maelezo zaidi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.