Search results

  1. M

    Kufuatia Sitta Kuonyesha Ushupavu katika Katiba, Jee Tumpe Nchi 2015, Ili Aisimamie Katiba Mpya ?

    You can't be serious! Huyo 6 hata kuwa balozi wa nyumba kumi hafai.
  2. M

    Sitta: Tuna wakati mgumu

    Huyo jamaa ameshamalizwa na wagombea uraisi wa sisiemu.Mwenyewe wakati anakabidhiwa majukumu ya kuwa mwenyekiti wa bunge la katiba aliona keshamaliza kila kitu kumbe amekalia kisu chenye makali ya pande mbili na anajikata mwenyewe.Kwa lugha yetu ya kimawia "lIBYALE MWENE SITTA".
  3. M

    Kipima joto ITV: 88% wakataa Rasimu inayopendekezwa na Bunge Maalumu ya Katiba

    hapana! rasimu hiyo haitokani na maoni ya wananchi.Wapenda nchi yetu ya Tanzania tuikatae rasimu hii ya Samwel Sitta.
  4. M

    President did a big mistake as a symbol of nation

    Tanzanians' politicians think that,they are critical thinkers compared to their subjects.They think that, only them can give the citizens the best choice.
  5. M

    Poor politics is the result of poor political leaders in Tanzania

    Leadership in Tanzania is quite simple that is why every prominent political figure in the ruling party seek for it.We have January Makamba,Samwel Sitta,Wassira Nchemba,.............,...........,..............,.................,..................... the space is not enough and this is your quiz...
  6. M

    Mwanasheria wa Serikali (Werema) na Sophia Simba nusura wazichape kikaoni

    Naunga mkono uraia wa nchi moja,ila siungi mkono hasira za Werema anapotoa hoja zake huyu jamaa ni wa ajabu sana.
  7. M

    Mnaomtanguliza Wassira mnayajua haya?

    Nchi hii kweli tumefilisika kisiasa!Hivi kweli Wassira ni mtu wa kuzungumziwa kuichukua ofisi kuu ya nchi hii? Kweli Tanzania urais umekuwa rahisi sana kwa kila mtu.
  8. M

    Warioba: CCM ijiandae kuwa chama cha Upinzani

    Hakuna kipya alichosema Warioba.Hilo lichama linasubiri kuzikwa tu,hayo yote yanajulikana tangu enzi ya akina Kolimba kazi kwetu watanzania wapenda mabadiliko kuitimisha tu.
  9. M

    Elimu nchini ipo mahututi

    Elimu ya Tanzania inasubiri kuzikwa.Hamna kitu,tumechagua siasa na uganga wa kienyeji kuwa vipaumbele vyetu.
  10. M

    Mabilioni ya husishwa na kifo cha mkurugenzi EWURA

    Umesahau mabilioni yaliyofichwa Uswisi.Nchi hii siyo masikini hata siku moja bali walioko madarakani wanachukua chao mapema.Chezea sisiemu weye.
  11. M

    Ni kauli ipi ya kiongozi iliyowahi kukukera kuliko zote?

    Kauli namba tisa ilitolewa na Malecela Samwel aka Tingatinga.
  12. M

    Tundu Lissu: Sheria gani ilimruhusu Salma Kikwete kufanya mkutano wa siasa Kusini?

    Hatutajua chochote kile iwapo hatutahoji na kudadisi.
  13. M

    Mwigulu amchana chana Lissu Hadharani

    Huyo hakuwa mtu wa kumsikiliza kabisa.Sisiemu ni mufilisi kabisa hawana hoja zenye mashiko.ujinga wa watanzania ndiyo mtaji wao.
  14. M

    Tunawatii CCM bara kwa kuwa wanatuhakikishia kubaki madarakani

    "Yule anyekubali kudhulumiwa na kuonewa ni mbaya kuliko yule anayedhulumu na kuonea".Muhammar Ghadafi.
  15. M

    Mahmoud Mgimwa, ashindwa kutaja majina ya watuhumiwa wa ujangili

    Tumsubiri Msigwa pengine atawataja ila sisi sisiemu siyo utamaduni wetu hatutawataja ng'oo mtatufanya nini nyinyi watanzania wachovu? niwakumbushe:Tuna orodha ya wauza sembe,tuna orodha ya majangili,tuna orodha ya wakwapuaji wadogo wa epa,tuna orodha ya waliotuhifadhia mabilioni yetu Uswisi...
  16. M

    Rais Kikwete kweli watu wamekuchoka

    nilifikiri ni mimi peke yangu ambaye sivutiwi kabisa na hotuba za huyu jamaa.
  17. M

    Baada ya UKAWA kutoka nje,umeona tofauti ipi Bungeni ?

    Waimba taarabu ndio waliobakia bungeni.Halafu jamaa katoa pointi za kimsalamsala kama lilivyo jina lake.Masikini yeyote yule na mtu aliyeelimika vizuri hawezi kuipenda sisiemu aka mkoloni mweusi.
  18. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    "Walioelimika tu ndio ambao wako huru".Heraclitus.
  19. M

    Ni dhahiri sasa CCM imelaaniwa na Mungu pamoja na wananchi

    CCM ni janga la kitaifa!
  20. M

    Tujifunze Kenya, viongozi walio na uchungu na nchi yao!

    Kuna wafanyakazi wa ngazi za chini nao pia waumizwe kwa hilo panga la asilimia ishirini?Nchi ya kenya ni miongoni mwa nchi chache duniani ambazo huwalipa wanasiasa mishahara ya juu kabisa.Kwa Uhuru na Ruto hiyo asilimia ishirini ni ndgo sana kwani hilo ni tone dogo kabisa la maji kutia...
Back
Top Bottom