Salam,
Ndugu zangu naomba ufafanuzi wa kitaalamu nilinunua kiwanja ambacho kimepimwa kabisa na kiukweli kilikuwa kikubwa sio mtaalam sana ila wakati tunahesabu hatua ilikua 60 kwa 40 na kipo kwenye makazi ya watu kiufupi kamji kanakuwa kweli huku kwetu swax.
Nilivyoona hiki kiwanja ni kikubwa...
Tafuta App inaitwa GLASSWIRE, pakua ndani ya hiyo App utaweza kujua App gani inakula sana MB zako,
utaweza kublock App zote za kwenye simu yako zisitumie MB hata kama data iko on, unaweza kuset App moja tu au mbili upendavyo ndo zitumie MB.
Unaweza kuweka data plan yako mfano leo utumie MB 300...
habari madokta kwanza niseme sikuwahi kabisa kupata tatizo la kuwashwa macho kabla ila nina kama wiki macho yanawasha yalikuwa mawili nikatumia dawa kadha moja limeacha limebaki moja linawasha balaa ila ukilikuna ni full kusikia utamu
embu naombeni dawa iwe ya miti shamba au ya kitaalamu...
Wakuu habarini niko Sumbawanga nahitaji kusafirisha mzigo kutoka Dar ningeomba mwenye mawasiliano ya new force, majinja au sai baba maana hizi gari zinakuja huku swanga kila siku anipe
Tafadhwari
Salam wakuu, nina kibanda changu nimesuka wiring ili nipate huduma ya umeme kutoka TANESCO toka mwezi wa tisa mwaka jana 2021 mpaka leo hata control number sijapewa ili nilipie mpaka umeme umepanda sio case sana!! Wakiamua wenyewe watakuja.
Naomba kujua kama naweza kutumia wiring hii hii...
Ligi inarudi wadau chukueni mzigo huo vyote vipya na risiti zipo.....0686426298
Mzigo upo Dar es salaam.... kwa 260000 tu... azam nakusetia mwenyewe kwa 8000 tu ( nipe dili hilo) Hdmi pia ipo kisasa zaidi.
Rejareja....tv 130000 na azam.....130000
Karibuni maongezi yapo kidogo sana. Kila kitu kipo
nakupa CPU na MONITOR ya LG ambayo ina ukubwa wa 25"( monitor ukiplay video haioneshi vizuri lakini linafaa kwa kusomea na mambo mengine), ipo VGA, na power mbili( wire) ina ram 380( ddr 1) mb, ina slot 2 za ram tu( ram moja ina 128 mb na nyingine ina 256mb) ina window xp, mlango wa dvd uko...
NATARAJI KWENDA SEHEMU AMBAYO KISIMBUSI KINACHOTUMIA ANTENA HAKISHIKI NETWORK......
NAULIZA HIKI KISIMBUSI KINAWEZA KUTUMIA DISH..... nilienda kwa fundi dish wa kwanza kasema kinaweza na yeye anacho kama hiko anatumia dish...fundi wa pili ile nakitoa tu kasema hiko cha antena......pia naona...
Kuhusu admission letter kuna aliechaguliwa Diploma UDOM na amepata admission letter mbona kila nikiangalia kwa profile ya dogo hamna chochote na muda unasonga maana nasikia Degree zishatoka. Isije ikawa profile ya dogo inashida halafu nashangaaa tu.
1)eti kuna kitu inaitwa ordinary diploma in primary education? namaanisha huyu awe mwalimu wa msingi lakini awe na diploma.
2) ipi bora kati ya grade A na hiyo ODPE ?
3) vyuo vinavyotoa odinary diploma in primary education viko wapi jamani mnipe mwanga
4) dogo ana EEF ataenda kweli dip...
Monitor ya dell 19" ,cpu aina ya ibm,756 RAM, hard disk 20 gb, ( monitor tupu 70000/= na cpu tupu ni 60000/=) nakupa vga,power cable zote na wireless panya.linafaa sana kama huna mambo mengi kama mimi uzuri wa hii cpu unatia hata kwenye begi la mgongoni unaondoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.