nafikiri tujikite kwenye hoja ya msingi hayo mambo ya ft or what mimi ndo niko site wakuu huu uwanja ni mkubwa kwangu imagine niliuziwa 1000000 (1million) mi nimekata hiyo miguu 20 nikala 1020000
Salam,
Ndugu zangu naomba ufafanuzi wa kitaalamu nilinunua kiwanja ambacho kimepimwa kabisa na kiukweli kilikuwa kikubwa sio mtaalam sana ila wakati tunahesabu hatua ilikua 60 kwa 40 na kipo kwenye makazi ya watu kiufupi kamji kanakuwa kweli huku kwetu swax.
Nilivyoona hiki kiwanja ni kikubwa...
tumia hii app inaitwa mood sms, ni noma kwanza kama kuna namba zako za majanga unaziweka kwenye secret chat maana yake hizo namba hata watume meseji 100 halafu simu kaishika wyfe haina notification, na wala screen haiwaki na akicheki kwenye sms box kuna meseji za voda tu
utazionaje hizo...
U nailed it bro uzi ufungwe na wasichokijua ni kwamba wanaona kwa macho mawili sio matatu wakibrainwashiwa kidogo tu wanaanzisha nyuzi afatilie ukweli hata u tube zipo documentaly zinaeleza vyema mfano tukio la sept 11 wanadai ni osama lakini ukifatilia mitandaoni ni michezo yao wenyewe, ISIS ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.