Mko wapi mlionena eti ajira za walimu 2013/14 ni Jan au Feb? Bado saa kiduchu kumaliza Februar! Mungu awasamee kwa uongo wenu! Mnadanganya umma wa Mungu! Haya njoo na kauli nyingine.
Ndugu msomaji husika na kichwa hapo juu.
Tumezoea kuona bendera ya Taifa ikipandishwa asubuhi na kushushwa jioni kila siku. Hivi kuna mantiki gani ya kupandisha na kushusha bendera kila siku?
Je, kupandisha bendera asubuhi kunaimanisha kwamba Taifa na Serikali yake limeamka kutoka...
Hili tangazo limekiuka haki za binadamu na sheria za nchi. Huwezi kumlazimisha mtumishi wa umma audhurie/ashiriki sherehe za chama siasa. Hilo tangazo inabidi litemewe mate na aliye liweka achukuliwe hatua stahk!! Ni tanganzo la kichokochoko.
Kiukweli, hakuna mgogoro wala makundi ndani ya CHADEMA. Ila kinachoendelea ndani ya Chadema ni kile ninachokiita 'NANI ZAIDI' kuelekea uchaguzi ndani ya Chama. Huu mkakati, 'nani zaidi' unampa nafasi mwana Chadema kuweza kutambua nani anafaa katika ngazi fulani.
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameishukru serikali ya Tanzania kwa kuanza kupeleka umeme vijijini hasa Jimboni mwake. Ametoa shukurani hizo bungeni kwenye kipindi cha maswali na majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.