Wadau natafuta haraka sana nyumba ya kupanga arusha iwe na vyumba 2 vya kulala,sebule na jiko na pia iwe self contained maeneo ya njiro/nanenane au karibu na njiro au mjini pia buget isizid 200000
Nakupongeza mh.lema kwa kuja na hili tena,ila nakumbusha tu watanzania na watu wa arusha wanaitaji zaidi ya kuibua scandals,tumia nguvu hizo hizo kuja na majibu ya matatizo mengi yanaowakabili vijana wa arusha na vijana wa tanzania kwa ujumla,kwani ni kweli siku ya mwisho hoja hizi zitakosa...
Wadau nimepiga interview world vision ila mwezi umepita naona kimya kabisa,naomba msaada kwa wenye uzoefu na ajira za world vision wanachukua muda gani kuita kazini baada ya interview.
Manake presha iko juu kweli kweli na ugumu wa maisha haya.
Nahis tumelaaniwa hii nchi,mtu akifanya vibaya matusi akionesha nia na moyo wa kufanya kazi matusi tena,hata malaika aongoze taifa hili itakua bure kabisa.
Na kunatabia inakua sasa Tanzania ya kikundi cha watu fulani wa chama fulani wao nia yao ni kuona mambo yanaharibika na hayaendi vizuri ili...
sijafaniki wa mkuu nimegogle wapi anagalia kwenye TTCl directory yao hakuna..kweli kazi maswali magumu ya hapo kwa hapo nitakua kazi kweli kama hata sijui kazi za mwajili ni zipi!!wadau msaada wenu jamani nakosa kazi hivihivi
Wadau naomba mnipe msaada wa haraka jana nimepigiwa simu na namba 0272549255 nikijulishwa kwamaba leo mchana nitafanyiwa interview ya ombi langu la kazi kwa njia ya simu.
Wakati hajamaliza kusema ni taasisi gani simu ikakatika aliishia kuniambia nafasi ya hr-
nimejaribu kupiga siku nzima simu...
mkuu ningekupigia pande lakini nikifikialia hiyo office ndio tu nimemfungulia wife na hilo jina lako napata utata kabisa,mwili unapenda ila roho inasita,sijui kwanini umejiita play boy!!
Dah mi nazani tungeikuza ikajumuisha watu wa maiaka yote ndio ingekua na nguvu sana sana,au we unaonaje?manake mi naona historia ya shule hii inakufa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.