Wadau, habari zenu.
Msaada wenu tafadhali. Samahani, wapi nitapata deodorant za old spice? Nilikuwa nazipata kiurahisi sana kwenye supermarket ya TSN mikocheni ila walizitoa. Nilienda supermarket nyingine za Posta na Bamaga bila mafanikio. Nimeweka na mfano wa hizo deodorant kwenye picha.
Shirika la Hifadhi ya Jamii yaburuzwa kortini kwa kujenga nyumba zilizochini ya kiwango. Vilevile, bei ya nyumba hizo ni kubwa kuliko thamani halisi. Nyumba ziliuzwa kwa Milioni 103 hadi 130 lakini thamani halisi ni Milioni 52. Hili ni somo kwa wale wote wanaofikiria kununua nyumba za shirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.