baada ya tundu Lisu na silinde na mdeee kupita Arusha week hii nzima wakiwa na chopa kesho ccm wataunguruma viwanja zaidi ya sita
1 majengo
2 mbauda
3.kilombero
4.kwa chuesi
5. soko kuu
6.kijenge ya juu
lengo kupongeza mchakato mzima wa bunge maaalumu la katiba iliyopendekezwa na kuwaomba...
kitendo cha ccm kuwapa chadema nafasi ya naibu meya ni kitendo chakiungwana sana chadema wana wajumbe kumi na sita ndani ya baraza madiwani wao na wabunge wanaoingia halmashaur
ccm na TLP wana wajumbe kumi na sita kama wangeingia kwenye kura leo basi wangetoka droo na hiyo nafasi ingebakia...
Vijana Wa Red brigerd Wa chadema Arusha wakuongozwa na kamanda wao krisi ambaye ndiye kamanda wa Red brigerd Arusha jimbo wamepigana hadi kumwagana damu maeneo ya Ostabey unga LTD kuelekea Sombetini ambapo walikuwa wanatangaza mkutano wao Wa hadhara
Baada ya kuumizana mziki ulizimwa ghafla na...
Juzi siku ya jumamosi uvccm mkoa wa Arusha walifungiana ofisi baada ya kubaini kuwa kuna ubadhilifu Wa shilingi milioni kumi na tatu ziliziliwa na Mwkt na Katibu wake
Wajumbe walipokuja kwenye kikao na kuikuta hali ya pesa zao hazito zimeliwa waliende kununua kofuli na kuifunga ofisi
Baada...
Mbunge wa Mpanda amesema hawezi endelea kuongozwa na mfumo wa kizamani zidumu fikra za mwenyekiti Mbowe.
Ukikosana na Mbowe unaonekana wewe msaliti.
Viongozi wa dini wameomba turudi mimi nina hofu ya Mungu siwezi kaidi ombi la viongozi wetu a dini sijafikia hatua ya kuwa mkaidi namna hiyo...
Ndugu wanabord napenda kuchukua nafasi hii Kama siyo fursa hii kukipongeza chama cha mapinduzi kwa Kazi kubwa ya kuijenga nchii hii tangu kitukombowe kutoka kwenye mikono ya wanyang'anyi wakoloni ambao waliongoza nchi hii kwa kuwanyanyasa babu zetu na Bibi zetu
Lakini mwenyenzi Mungu alimtuma...
Kakatika uzinduzi wa albamu ya kamata pindo la Yesu ikiyofanyika leo ukumbi wa Diamond Jubilee Askofu Dastani Maboya wakanisa la Assembulss of God ambaye amewataka watanzania kuwaheshimu wazee na kuwaenzi kwani hata kiti cha enzi cha Mungu kimezungukwa na wazee 24 Rose mhando baada ya uzinduzi...
Ndugu wanabodi kinacho fanywa ccm na ukawa nikutufanya wajinga sisi wanchi maana midahalo yote na mikutano yote havina maaana ccm na ukawa waende bungeni wakazungumzie kule Ukawa wanasema kuwa wanataka ijadiliwe rasimu ya wariyoba kwani pale bungeni kuna rasimu mbili??
Napata mashaka sana na...
Wanabodi Mbunge wetu mteue Wa jimbo la Arusha Godbless Lema tuliye mpenda Sana mwanzoni kabisa kampeni zake alionyesha kushirikiana na wanyonge lakini tumeanza kuona vitu tofauti Sana na tulivyo waza
Machinga na wamama wasokoni tulikuchangia na kuzilinda kura zako mpaka ukawa Mbunge
Ila...
Wana bodi mwezi Wa nane tarehe nane naibu Katibu mkuu ccm bara ambaye ameonyesha nia ya kutaka uraisi mwigulu atazichapa na Mbunge Wa nzega Dk Kigwangala ambaye naye ameonyesha nia ya kuutaka uraisi baada ya raisi Kikwete
Tukutane uwanja Wa taifa name nane tuone nani atatoka bingwa
Mbunge wetu Wa jimbo LA Hai Mh Freman Aikael Mbowe juzi alipokuwa akiwasilisha taarifa yake kwenye mkutano mkuu Wa jimbo la Hai chadema alisema yeye binafsi na mfuko Wa jimbo ametoa kiasi cha sh milioni mia Mbili hamsin na sita Mbunge Mbowe akichangia kiasi cha sh. Milioni mia moja na sita
Mh...
Akihojiwa jionini hii Mwenyekiti wa UVCCM Arusha mjini Martin Munisi amesema Ahadi zote za Raisi tayari na ilani ya uchaguzi ya ccm zimetekelezwa kwa hapa Arusha
Square Arusha one Radio
Aliyekuwa waziri wa serikali za mitaa Malawi amejiua baada ya kupata taarifa za kushindwa uchaguzi mkuu.Kifo chake kimetokana na kujipiga risasi akiwa nyumbani kwake.
Source: BBC Swahili, Habari Zilizotufikia hivi punde
My take: 2015 tutegemee mengi kwa mawaziri na manaibu waziri kujinyonga...
Ccm na chadema Arusha watakuwa na tamasha LA pamoja litakalo ratibiwa na bavicha na uvccm kutakuwepo na Mpira wa miguu na baadae kuvuta kamba
Mwisho ni pambano kabambe LA ngumi kati ya Mbunge Lema wa chadema na mwanachama waccm na rafiki wa karibu na Lema Jumanne Mjusi
Hakutakuwa na...
MWENYEKITI wa Uvccm wilaya ya Arusha mjini ndugu Martini MUNISI amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai kuwawajibisha haraka sana viongozi waliyo uza chakula cha njaa wakiongozwa na MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya ya Hai pamoja na madiwani wenzake wa CHADEMA haikubaliki hata kidogo serikali ya CCM...
Baada cc ya CCM kumteua Riz kuwa mgombea wa ubunge kupita CCM Jana usiku mchana huu Riz anaelekea ofisi za Halmashauri kwenda kuchukua fomu ya ubunge Chalinze.
Jana kwenye mkutano wa hathara sombetini shuleni mwenyekiti wa uvccm Arusha mjini alimtaka mbunge lema kabla ya kuwashawishi wanasombetini kumchagua bananga akatekeleze ahadi alizotoa Shule ya Korona baada ya kuvunjasheria na kuamuru ifungwe
Mwenyekiti huyo aliendambali pale alipo waambia...
Leo ccm imemjibu lema mbunge aliye tangaza maandamano Arusha jumatano
Chatanda amesema tuwakwepe chadema kwenye fujo msiwaguse maana baada ya lema kuelemewa ameanza kumlaumu RPC kuwa hapokei cm yake kwasababu hiyo anaandamana polisi msipige mabomu sombetin. Maana nia na lengo la lema...
Maandalizi ya maandamano ya lema Arusha ya kimya kimya kama alivyo yaita yeye yanaendelea vizur baada ya jana mida ya saa moja usiku gari aina ya costa kuleta vijana thelathini na nne nakuwashusha gest ya Nairobi shine Ngusero vijana hao wanaunganika nawenzao waliyo kuja siku ya ufunguzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.