Na Mimi naomba niongeze swali katika hilo.....
Kuna mshikaji alimaliza kidato cha sita enzi hizo na kupata div 3 ya points 14 kwa maana ya D E E na kwa vigezo vya wakati alifanikiwa kijiunga na chuo kikuu kuchukua shahada yake, sasa kahitimu bahat mbaya iyo shahada haina ajira anafikilia kurudi...
Mama kawatetea wafugaji labda kwa vile na yeye ni wa huko
Ukweli ni kuwa wafugaji ni tatizo
Ugali ni muhimu kuliko nyama
Anasema tatizo lilianzia kwenye hizo hekta 70k......... Ina maana wafugaji wote tunao waona maeneo mbalimbali wakisababisha migogoro ni hao wa manyara peke yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.