Duuh nimeona leo kwenye mahubir ya mzee wa upako kuwa yeyote anaekataa kuchanjwa chanjo ya corona huyo ni 'zombi'' tena amefika mbaali zaidi na kusema kuwa gwaji boy nae anapotosha watu kwa kuwazuia kwenda kuchanjwa kwahyo nayeye ni zombi.
Aisee wewe jamaa umenipa hasira... Kwel yaan... Ungekuwa kalbu yangu ningekuzaba hata kofi la baba wa kambo. Yaan kodi zote hzi zilizoongezwa na bdo ww unatetea.
ivi tanzania chama pinzani kipo kimoja tu 'cdm'? maana hawa chukua chako mapema" wanavyopata shda na mbowe yaan mpaka aibu!! dingi mbowe walaah wewe ni jembe kama ni tuzo ya upinzani bora ingekuwa inatolewa ingekuhusu.
yaan raia wa nchii hii me nawashangaa sana. wanashilikiana na chama tawala kuukandamiza upinzani. nawasikitikia sana, hawajui maovu mengi yanchi hii wapinzani ndyo wameyaibua!!! sasa ngoja wakiue chama pinzani(cdm) alafu waone watakavyoishi kama vichaa'' mm haka nahama zangu nchi kabla cjawa kichaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.