Hawa CCM inaonekana wamechanganyikiwa hasa kule Zanzibar waliufuta uchaguzi 2015 bila aibu. Wakaachiwa serikali peke yao bado wameshindwa kutengeneza mazingira mazuri , wamejisahau miaka 5 sasa hivi wantaka kuleta maafa na hii ni aibu kwa serikali ya mapinduzi na serikali ya muungano ya...
Tanzania tunakoelekea sio mbali nchi zilizo pata matatizo na vita duniani ni viongozi kulazimisha kubakia madarakani huku wakidhani yakitokea matatizo watabaki salama.
Haijawahi kutokea uhuni huu tokea siasa za vyama vingi viasisiwe Tanzania wapo viongozi walio tangulia kutoa angalau ushauri...
POLE SANA KWA MASAHIBU LAKINI UNAONEKANA UNA MATATIZO YA UELEWA .
1 BABA YAKE ANAINGIA VIPI HAPO KAMA NI KWELI HUONI UNGEKARIBISHA AIBU NYUMBANI KWENU ?
2 WATU WA BARA HASA WAGENI KUTOKA MIKOANI WANSHINDWA KUELEWA NI NANI MPEMBA WAO WANAELEWA MPEMBA NI KILA MZANZIBAR MPEMBA HALISI NI YULE...
kipindi hicho niliishi pale Mannenberg . warangi rangi hawana akili hata kidogo kuna wale vichaa wa hanover park ,athlone haiderfield na wood stock bila kuwasahau wa salt river . Cape town ni moja atika miji hatari sana .
BAHARIA KUNJANI WENA .
HAYA TUAMBIE UNAISHI WAPI
BAHARIA .UMENIKUMBUSHA NIWAZE MAENEO YA GUGULETHU, KHAELITSHA. LANGA ,NYANGA ,PHILIPI ,MANDALAY ,NOKBELO NA MENGINEO DUH WATU WEUSI NOMA SANA UKIZUBAAA WANAKUDUNGA MCHANA KWEUPE .WARANGI RANGI NDO HAWAFAI HATA DAKIKA MOJA . HAPA NAZUNGUMZIA...
Hapa isijekua ya kile kivuko cha Dar to Bagamoyo watu wanafika Zanzibar na kurudi Dar hakijafika Bagamoyo na kiliishia wapi kile kivuko wa Tanzania tusiwe wasahaulifu .
HIVI HUYU MKUU WA MAJESHI HAJAWAHI KUSIKIA KUNA WATU WASIOJULIKANA ? PIA HAJAWAHI ONA DEMOCRACY IKICHEZEWA KWA MAKUSUDI LEO IMEFIKIA HATA CHAGUZI NDOGO WATU KUULIWA NA KUTIWA VILEMA ? JESHI LA POLISI LIMESAHAU MAJUKUMU YAO LIMEKUA TAWI LA CCM ? AKILI HANA BASI HATA PICHA HAONI ?
Kunguru Mjanja Huyu jamaa pamoja na yote anambiwa lakini ni mchicha mwiba analiwa na yeye vile vile jamaa kwa ufupi ameathirika kisaikolojia kwa sababu alipokua anainukia wenzake walikua wanamshughulikia
Hata huyo mzeealielawitiwa mwanawe kwani mumemsahau ? Alikua anakata mauno kwenye bunge la...
HICHI KITOTO KITAKUA KINASUMBULIWA NA MASHETANI YA KIBUKI SHANGAZI YAKE NDO FUNDI MKUBWA WA VIBUKI BI MTEMBEZI . KILA WIKI ANAKUSANYA WATOTO WADOGO NA MAKAKA POA AKIWAPUNGA VIBUKI.
Mkubwa umeongea hata ile sherehe ya kutimiza mwaka mmoja ya ukuu wa mkoa ni kiashirio tosha wachilia mbali madudu mengine but Rais Magufuli hana washauri ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.