Wadau habari za leo?nimepata ajali na gari yangu carina Ti lakini nashukuru Mungu nimetoka mzima ila gari yangu imeisha kabisa bodi ila engine ni nzima na mifumo mingine naweza pata mtu mwenye bodi ya carina anauza?kama yupo naomba anipm tafadhali..cku njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.