Heri ya mwaka mpya ndugu zangu wakijiji, Mungu ni mwema ametupa neema ya mwaka 2023 ni mwaka mwingine ya zamani yamepita acha kutembea na fikra za 2022. Nirudi kwenye mada husika......
Maandiko yametuasa wanaume tuishi na wanawake kwa akili, ndoa na mahusiano ya sasa yamekuwa na changamoto sana...
Kumbe Jogging club zinazoanzishwa wa wingi hasa maeneo ya mjini zimekuwa platform ya kutongoza wanawakeee aiseee!!!.
Nimepita mahali nikakuta Kuna vijana wanamshawishi kijana mwenzao ajiunge Kwenye jogging club yao waliyoianzisha, Sasa Huyo mwenzao akauliza "wanawake wapo???"
Wakamjibu Wewe...
Salamu nyingi ziwafikie popote mlipo.....
Niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha mada kinavyojieleza, kwanza ijulikane maisha tunayoishi hatuishi kwa ajili yetu, yaani maisha yako ili yaende yanategemea watu wengine hakuna anayeweza kuishi kwa kujitegemea mwenyewe, vivyo hivyo hata...
Umofia kwenu!!!!!1
Kwanza kabisa niwatakie heri ya mwaka mpya 2022, ni muda mrefu kidogo nimekuwa ndugu mtazamaji lakini kwa leo naomba nilete hili kwenu.
Kwanza kabisa ijulikane taasisi ya mahusiano na ndoa ndio taasisi mama katika kuishape jamii, kumbuka taasisi hii ndiyo inayozalisha...
Habari ndugu zanguni, nawasalimuni wote kila mmoja kwa imani yake
Niende moja kwa moja kwwnye hoja ya leo, kumekuwa na malalamiko mengi juu ya mahusiano mpaka inafikia mahali inaonekana mahusiano hayana maana tena, wengine wamefanya mahusiano kuwa biashara, wengine imekuwa uwanja wa vita...
Habari wanakijiji wenzangu, matumaini mko salama kabisa, bila kupoteza muda nielekee kwenye mada
Kumekuwa na wimbi la watu wengi hasa wanandoa kueleza negatives za ndoa kiasi kupelekea wengine kukata tamaa ama kuogopa lakini ngoja niwaelezeni kitu
Ndoa ni tamu sana hasa kama umepata mtu...
Habari ya weekend wana kijiji wenzangu wa humu ndani, ni muda mrefu sijazungumza chochote Leo naomba tushirikiane hili hasa kwa wanaume,
Wanaume wengi sasa
Wamekosa kujiamini mbele ya mwanamke, sijajua kwanini hii imepelekea imepelekea mwanaume kuwa mlalamikaji zaidi, miaka ya nyuma mwanamke...
Habari za weekend wanakijiji, niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimejiuliza nimekosa majibu kadili siku zinavyozidi kwenda watu wengi wanakata tamaa kwenye mahusiano mwisho wa siku wanaona bora kukaa wenyewe tatizo ni nini? Kwanini watu wanashindwa kudumu kwenye mahusiano? Siku hizi imekuwa...
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi inasemekana kazi ya wanawake wanaozaa kwa upasuaji yazidi kuongezeka huku ikidaiwa kuwa wapo wanaofanya upasuaji huo bila sababu za msingi tofauti na wale wenye matatizo ambao inapelekea kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua.
Jamani sasa kwanini wanawake...
Habari ya mchana wapendwa, nimeikuta sehemu hiii
......................................
By nature nadhani mwanamke ameumbiwa kujua "assurance" hata kama hatakuwa na matumizi nayo lakini kuwa assured a.k.a kuhakikishiwa kwao huwa inahusu sana.
Suala la usalama wao wa nafsi na akili na mwili ni...
CHANDUKA (1)
Age 18
by hafidhi j ikram
Cm 0765672880
----------------
TUPATE KIDOKEZO KWANZA
CHANDUKA
ni kijana mmoja aliye kulia katika maisha ya kimasikini sana yani hata elimu ya darasa la saba hakuweza kuimaliza kutokana na sababu nyingi tu
kikubwa zaidi ukosefu wa uniform madaftali na...
SEHEMU YA KWANZA
Simulizi: JUMBA LA LAANA (01)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447
“Hodi hodi wenyewe!”. Nilizidi kuligonga geti la jumba hili huku nikiipaza sauti yangu pasi kupata majibu.
“Jamani wenye nyumba hodiiiiiii!”. Niliendelea kubisha hodi pasipo kukata tamaa.
Sikutaka kukata...
Habari za weekend wapendwa, natumaini muwazima wa afya, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo kuu kilichonisukuma kuongea hivyo ni huu mkanganyiko ninauona kwa hawa wanawake kwa kutokuwa na msimamo ambao sio wote ni baadhi lakin wengi wao....
Kuna jamaa yangu alikuwa na mpenz wake na Mimi...
JESTINA-1
"Jestina....Jestina....Jestina...tafadhali usifunge macho eeeh mungu usimchukue Jestina wangu nitabaki na nani hapa duniani" hiyo ilikuwa ni sauti ya kijana Alwin akiwa amempakata katika mapaja yake mschana aliekuwa akimpenda zaidi kuliko kitu kingine chochote duniani.
Wakati huo...
Simulizi: KAHABA (01)
Mtunzi: Kalmas Konzo
Simu: 0744 970447
“Hivi baba Careen, unajua mimi sikuelewi kabisa siku hizi?”.
“Kwa nini hunielewi?”. Nilimjibu mama Careen.
“Eti eeeeh! Unajifanya huelewi”. Mama Careen aliongea huku sasa akiwa amekishika kiuno chake kwa mikono yote na kunitolea...
JOTO LA MAPENZI-1
Kutokana na maji kuingia kwa kasi katika shimo alilokuwemo kijana ambe yalimzindua kutokana na kuteleza na kudondokea humo wakati wakiwakimbia askari magereza na kupoteza fahamu. Ilikuwa katika jaribio la kutoroka kwa bahati mbaya aliangukia kwenye shimo. Rafiki yake Aloys...
Mtoto utapata ila lazima ufuate masharti yangu."
"Babu siamini kama kweli nitapata mtoto maana huu ni mwaka wa saba sasa niko kwenye ndoa lakini sijapata mtoto, niko tayari kwa masharti yako babu, okoa ndoa yangu, ndugu wa mume wangu wananisema sana."
"Je, unaweza kumjua mwanaume atakayekupa...
Agatha na mumewe Jackob wanaishi katika nyumba ya kupanga ambayo kila mwezi wanatakiwa kulipa bili ya umeme kwa zamu, cha kushangaza Jackob anapokosa fedha hiyo hachanganyikiwi wala kuona aibu kusema sina.
Kwa mujibu wa simulizi ya Agatha, hata anapomsihi mumewe ajitahidi wapate fedha hiyo...
"Ulikwenda hospitali mke wangu?" Masofa alimuuliza mke wake Sulee.
"Nilikwenda, lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja."
"Ndani ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana kweli? Hujamwambia kwamba tumehangaika kutafuta mtoto kwa miaka nane, sasa ndani ya mwezi mmoja mimba...
Habari wanajamvi, bila kupoteza muda niingie kwenye maada husika
Siku za hivi karibuni vijana Baadhi ya wanawake wamejivua utu wao na kuanza kujihusisha kimapenzi na vijana wadogo wengine kwa umri walitakiwa kuwa watoto wao(Naongelea serengeti boys na sugar mumys), sababu zipo nyingi za wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.