Juzi nililazimishwa na askari wa barabarani kufunika taa za ukungu baada ya mabishano ya muda mrefu. Alitaka kunilima notification lakini nikamuwahi kwa hela ya kubrashi viatu.
Sasa kwenye hili jukwaa lazima kutakuwa na mdau wa hili. Hii sheria inahusu taa za mwanga mkali ama hata hizi za...
Jana nilienda ofisi za startimes hapa jijini Arusha. Katika maongezi na mto huduma pale nikakuta aina mbili za vingamuzi tofauti yake ni colour strips. Yaani kimoja kinaruhusu free local channels na kingine zinaondoka mara malipo ya kila mwezi yakiisha. Kuhusu vingamuzi vya zamani ili viwe na...
I have washing mashine INDESIT WIXL 143s. I have been using it for the past three years;unfortunately recently, some parts including the bearings and pcb (printed circuit board) went wrong! Now, some parts can be used as spare parts for other machines. Therefore if there is a person in need of...
Kuna mashine ya kufulia aina ya Indesit wixl 143s. Ilipata tatizo la drain pump kuungua pamoja triac husika. Nimepata spare husika na kuziweka. Mashine inafua lakini bado pump haizunguki ikifikia kuondoa maji. Nimejaribu kuunganisha pump direct nje kwenye umeme inafanya kazi. Nimecheki nyaya...
Naomba msaada wenu katika jukwaa hili. Hali ya uchumi imekuwa ngumu mno, dhamana za magari,nyumba n.k zinapigw minada sehemu nyingi. Sasa basi, kuna dogo ametumia hati ya mauziano ya kiwanja kukopa benki X na hati ya nyumba benki Y. Baada ya muda benki X yenye hati ya mauziano ya kiwanja imeuza...
Wadau kwenye jukwaa hili natafuta component tajwa. Ni kwa ajili ya drain pump ya Indesit wixl 143s washing machine. Nipo Arusha mjini, nimetafuta kwenye maduka ya electronics bila mafanikio.
Wadau naomba mnitafutie spea ya mashine tajwa. Spea yenyewe ni "plate shaft" hii inaunganisha mota na disc Kwa ajili ya kukatia matango ama carrots. Napokea hata used spare
Wadau naomba kujuzwa aina ya gundi, nzuri kwa ajili ya kuziba mashine hii kuzuia kuvuja. Hii ni baada ya kuivunja kwa mzunguko ili kubadili bearing. Nimejaribu silicon za kawaida lakini naona adhesion yake iko poor na siyo heat resistant. Natanguliza shukrani.
Wasalaam members ya jukwaa hili, nina mashine ya kufulia indesit wixl 143, ilikuwa na tatizo la bearing, pamoja na ugumu wa kubadilisha nilifanikiwa. Lakini baada ya zoezi hilo. Ukiweza nguo, washing program led lights, water comes in through the inlets but washing (back and fro) does not start...
Daktari kuchelewa kufika kituoni/kuanza kazi. Jamani nipo hapa kituoni tangu saa 2 asubuhi, mpaka naandika malalamiko haya saa 3.45 hajaja daktari, ama yupo hajaanza kazi.
Tunaomba mamlaka husika kufuatilia hili. Imekuwa ni jambo la kawaida tu.
Wafanyabiashara wa Jiji la Arusha leo wamefunga maduka yao kushinikiza serikali kuondoa matumizi ya mashine za kielektroniki za kodi. Hata hivyo maduka ya wafanyabiashara wa kiasia yako wazi. Sasa hoja ni hii kwa nini wabongo wagomee na siyo wahindi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.