Habari wadau
Kwa kipindi kirefu sasa (miaka kadhaa) tokea nilipojiunga na mtandao wa Facebook tatizo nimesahau exactly year niliojiunga kwa mara ya kwanza.
Naomba msaada kujua ni Lini hasa nilipojiunga na mtandao huu.
Angalizo
Kabla ya kunielekeza jaribu kwanza wewe mwenyewe kunangalia...
Mnamo siku ya jumatatu ya tarehe 30/08/2016 mkuu huyu wa wilaya alitangaza kuwavua madaraka maafisa elimu wawili. Afisa elimu wa halmashauri ya wilaya ya Arusha na afisa elimu wa halmashauri ya Meru. Lakini pia aliwasimamisha wakuu wa shule kadhaa kutoka wilaya hii miongoni mwa shule ambazo...
Wadau habari
Naomba msaada wa kujisajili kwenye google adcence ila tatizo nililonalo sihitaji kufungua blog nyingine ya lugha ya kiingereza. Tafadhali kwa mwenye ujuzi naomba anisaidie kwani nimejaribu wamekataa.
Habari wadau?
Nimekaa nakutafakari mwenendo wa serikali yetu hii tokea mwaka huu 2015 ulipoingia. Mwanzo kabisa walikuwa wakisua sua kutuajiri kwa kile kilichoelezwa kuwa serikali haina pesa za kutosha.
Haya sawa mara ilipofika tareh 27 april wakaamua kutuajiri kwa mizengwe zengwe hivyo...
Habari wadau wa JF
Nimefungua uzi huu kwa yoyote mwenye kutaka kujua zaid kuhusu chuo hicho, location, kozi wanazotoa, taratibu za application na mambo mengine ya msingi unayotaka kujifunza kutoka chuo hiki.
ANGALIZO : Kama unataka tujadili kitu hapa basi tafadhali si vizuri kuleta maswala...
Habari wadau.
Nina nyumba ipo Kiwalani karibu kabisa na ukuta wa uwanja wa ndege. Lakini nyumba hiyo ni ndogo sana kiasi kwamba mbele ya nyumba kuna nafasi ya kujenga mjengo mwingine.
Sasa kwa kutumia hati ya nyumba, nahitaji kupata mkopo wa milioni kumi kwa ajili ya kujenga eneo...
Habari wadau wa jf!
Jamani kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia nionane na RAIS ili nizungumze nae aniteue niende kuijadili rasimu ya katiba bila malipo yoyote, nitatumia gharama zangu mwenyewe.
Watu wanadhani ni masihara lakini nipo serious, naomba wadau tena ikiwezekana nitoe kiingilio...
wadau naomba kuuliza kuhusu hii kitu ni kwamba kuna mwana JF mmoja alikuja na maelezo yanayohusu kujiunga na CareerDollar kisha kutengeneza pesa bila ya kutumia nguvu nyingi.
Sasa wana jf wengi walisema kwamba ni WEZI ila kwa upande wangu sikudharau nikajaribu kujiunga na nikapewa link yangu...
Habari wana jf?
Nilikua naomba kuuliza kuhusu usambazwaaji wa bidhaa hiyo utaratibu ukoje?
Mimi nipo hapa moro na kuna watu wengi wanaulizia sana decoder hizo sasa naomba nijulishwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.