Habari za jioni wanajamvi,kwa wenye uelewa na swala hili naomba majibu
yenu.wiki iliyopita nilibadili kadi yangu ya simu yAani swap baada ya hapo nilipata kadi mpyA lakini namba ile ile.Baada ya hapo huduma ya tigo pesa ilisitishwa kwa masaa 48 then ikarudi kama kawaida.Ila huduma ya Crdb sim...
Habari zenu wanajamvi .Nimatumaini yangu kuwa sote tuna afya njema. jamani nimetumiwa email baada ya kufanya application ya kazi online kwa nafasi zilizo kuwa zimetangazwa na SCIENTIST INTERNATIONAL ORGANIZATION(SIO) kwenda kufanya kazi South sudan. sasa wadau je kuna taarifa zozote zenye utata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.