simu yangu huawei ascend y300,mwanga wake hauongezeki,yaani hata ukiindoa energy server bado mwanga haungozeki..swali; hili ni tatizo la setting au simu ni mbovu?
Kuondoa damu chafuNi tiba na kinga mzuri sana mzuri sana kwa maradhi mengi,hufanywa kila tarehe za mwisho wa mwezi,lmefundishwa vizuri sana katika mafundisho ya kiislam na mtume wao..kwa wenye kufahamu vizuri naomba elimu zaidi..mzizi mkavu njoo utupe darasa tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.