wakati mwingine unashindwa hata kuelewa unatakiwa kufanya nii maana nchi haina "Direction" yaani ni kama tutaenda upande ule ambao upepo unatupeleka!! ni mbaya sana!! na sina uhakika sana kama viongozi wetu wa kisiasa wanahitaji mabadiliko ya kikweli katika nchi hii!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.