Habari zena wana jf naomba kujuzwa kuhusu uzazi naama jinsi ya kuhesabu siku zipi ni za hatari ( baada ya kumaliza hedhi mwanamke anaweza kupata mimba) na zipi sio za hatari ( mwanamke hawezi pata mimba). naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.