kwa sp order gani unayosema wewe ilitolewa lini hiyo stop order mimi mtu kabla ya kununua ataenda serikalini kuulizia na ukienda haposehemu watu wanaendelea na ujenzi kama kawaida kuna jirani yangu euza mwezi uliopita na alienunu anaedelea na ujenzi serikal imeleta hadi umeme pale napia...
mradi gani na stop order gani unayosema wewe ilitolewa lini hiyo stop order mimi mtu kabla ya kununua ataenda serikalini kuulizia na ukienda haposehemu watu wanaendelea na ujenzi kama kawaida ?
Habari wana jf natumai hamjambo Nauza kiwanja changu kilichopo Kigamboni Kibugumo Daes salaam ni karibu na South Beach watu wamejenga umeme upo na gari inafika hadi katika kuwanja ukubwa ni upana hatua kama 25 na urefu hatua kama 30 bei maelewano anaehitaji serious anipm tuongee au niandikie...
Habari zenu wana jf Nauza kiwanja changu kipo Kigamboni mjimwema Kibugumo karibu na SOUTH BEACH Sikikubwa sana bei 25,000,000 kwa yeyote atakae hitaji anicontact 0718403409 Plot no.1293 pic attached na bado hakina hati Ahsanteni sana note sio kiwanja cha mradi nimepima mwenyewe watu...
Habari zenu wana jf jamani kunaviwanja vinauzwa hatua za mtu mzima 20 kwa 20 nyuma ya kiwanda cha Azam cola kilongoni vikindu mkuranga ni 5 km toka pale Azam cola na ni 25km toka sokoni kariakoo bei ni Tshs 2000,000/ kwa atakae ani pm pia gari inafika hadi katika viwanja
Jamani kunaviwanja vinauzwa vikindu nyuma ya Azam cola 5km kutoka Azam cola na ni 25km toka sokoni kariakoo bei ni Tshs 2000000 milioni mbili size ni hatua za mtu mzima 20 kwa 20 kwa atakae ani pm
Nauza kiwanja Kipo Kigamboni mjimwema kibugumo kimepimwa bei ni Tsh 30`000`000/- kipo karibu na barabara kuu ya kigamboni ni mita kazaa tu Gari inafika hadi katika kiwanja na nikama 1km toka South beach umeme upo hapo hapo katika kiwanja kuna nguzo ya umeme atakae hitaji ani PM tu kiwanja ni...
Ahahaha alie kuambia balaghashea ni vazi la utamaduni la warabu ni nani?
vazi la utamaduni la warabu ni vilemba si balaghashea na hivo vilemba pia vinatofautiana na sehemu ufungaji cha misri na yemen ni tofauti Dubai na Oman ni tafauti so vazi la asili la kichwani kwa warabu ni kilemba si...
Jamani nauza Shamba Maeneo ya Vikindu Manyani zipo Ekari 9 kwa shilingi milioni 35 yeyote atakae kuwa interested ani inbox au email threecat34@hotmail.com simu namba 0718403409 ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.