unapoandika mambo ya ajabu ajabu kama hayo ndiyo unasababisha sisi wanaCCM tuonekane hatuna lolote, october 25 Tanzania itachagua raisi wa facebook? kwani CCM ina mgombea wa uraisi wa facebook? acha kudhalilisha chama mkuu
Ndugu wanaCCM wenzangu, huu ni ukweli. Tabia ya ukweli ni kuumiza mioyo ya watu, kama ambavyo hapa wanaCCM wenzangu watakapoumia mioyo yao na kuanza kunitukana.
Ni hivi, nilikuwa mbishi sana na siku zote nimekuwa nikiamini kuwa CCM tutashinda katika uchaguzi mkuu, nimefatilia kwa umakini...
Mleta maada naomba nikuulize swali, baba yako mzazi alienda kwenye msiba wa Nyerere? na kama alienda ni nini kiliongezeka msibani? au alienda tu kula pilau.
Kwenda msibani si lazima hata wewe hujaenda katika misiba yote inayotokea
mkalenda , unafahamu kwanini nchi yetu pamoja na misaada tunayopewa haiendelei??? Ni kwasababu ikichukua mkopo inapeleka kwenye expenses na sio investment. Ingekuwa serikali yetu inakopa kisha ina invest basi suala la budget ya serikali isingetegemea wahisani hata kidogo. Tafakari Kisha Chukua Hatua
Lonelyness , mtazamo wangu mimi ni kwamba tumia sh. milioni moja moja kufungua sehemu tatu tofauti za kuuzia chips hiyo itakusaidia kudiversify risk.
Sijui upo wapi, kama upo dar hesabu maeneo mengi minimum ni elfu ishirini hivyo ukiwa na sehemu tatu ni sawa na elfu sitini kwa siku ambapo...
Wewe una mke wako au mme wako ambaye mmeishi pamoja kwa miaka kama kumi na mna watoto wawili.
Atakapo kufa mama yako au mke au mme wako wote utasikia uchungu lakini unadhani yupi zaidi atakupa uchungu, je ni mama yako aliyekuzaa au ni mke/mume wako aliyezaa nae na kuishi nae kwa miaka kumi...
KIJANA AMBAYE HAJAOA
(I) Huwa anampenda sana mama yake, mama yake ndio anakuwa first class, endapo mama yake anaumwa na mchumba wake anaumwa basi atampeleka mama yake hospitali kwanza kabla ya mchumba wake.
BAADA YA HUYO KIJANA KUOA
(II) Mke wake anakuwa firsr class, yaani mama yake mzazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.