Nilimppteza mtoto wangu kwaajili ya ukosefu wa vifaa tiba. Hospital za serikali zinachangamoto sana. Hakukua na incubator zaid ya mashine moja ya oxygen watoto mapacha unawaweka kwa zamu yaan bas tu
Kabisa yaan, hamna sehemu nzuri na salama kama nyumbani. Mkiishi vizur kwa kuelewana nyumba inakuwa paradise ndogo hakuna atakaye tamani kuchelewa eti kuogopa kufanya kitu flani.
Kawaida tu kwasababu natambua hilo ni jukumu langu kama mama na mke yeye anafanya msaada wa hiyari tu kama baba ili aweke mchango wake kwa malezi ya mtoto. Asipofanya haimaanishi kwamba hajali hapana atafanya mengine ya muhimu pia hata kama yasipohusika na majukumu ya nyumbani. Ni swala la...
Mhhh inategemea na jinsi mnavyoishi na mke uliyenae. Mume wangu anarudig saa moja na nusu mpaka saa mbili na akikuta kuna baadhi ya vitu havijakaa sawa huwa anasaidia hasa upande wa mtoto kama kumlisha na kucheza nae ili mimi mke nifanye shughuli nyengine za upishi ukizingatia cna msichana wa...
Wataongezeka ila umakini unahitajika sana sana zaidi ya sana. Hakikisha unawavalisha nguo nzito maana baridi kidogo tu linawaletea madhara. Mama ajitaidi kula vyakula bora vinavyozalisha maziwa mengi. Mm nilijifungua pia pre mature wik 33 ingawa dotto alifariki ila kulwa yupo vizuri kilo saba...
Mimba zinavituko, mimi mimba yangu ilimpenda baba yao yaani mda wote nilikuwa natamani nikae nae nisikie tu harufu yake hasa kijasho flani hivi ndo najisikia amani. Kulala ilikuwa lazima awe pembeni yangu ndo usingizi uje vinginevyo nagalagala nahangaika mpaka nakoma. Kula mpaka apike yeye ndo...
Hili jambo ni mtihani aiseee, juzi tu jumatano kulikuwa na mdada ametoa mimba ya mtu mwengine kesho yake alhamis ilikuwa sendoff ijumaa kaenda kuflash yaan kusafishwa leo jmos saa 9 anasubilia kufunga ndoa na mwengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilienda kwa mpz wangu kwaajili ya kuchukua vitu flan ambavyo niliviacha cku nyuma maana nilikuwa na funguo yangu na nilikuwa na uwakika mida hiyo yeye ajalud kazini kufika kwake mlango umefungiwa kwa ndani nikabaki nashangaa inakuwaje wakati funguo ziko mbili yangu na yake na yeye yupo kazin...
Tatizo sio kazi hiyo ni tabia ya mtu . Mkeo anaiga wenzake na yeye akili yake ndogo hajui kuchanganua lipi jema lipi baya ongea nae tena na tena usichoke ipo siku mtafikia muafaka mwema. MUNGU yupo atakusikia kilio chako
Nakumbuka niliibaga tai ya baba, suruali mpya ya kaka nikampa avae kwenye interview ili aonekane kidogo yupo official maana alizoea jeans tu na nauli nilikopa kwa jirani tena ya riba maana yeye kipindi hiko kamaliza chuo hana pesa, good thing nikwamba alipata kazi na bad thing akanigeuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.